Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habarini wakuu. Usiruhusu orodha hii kukuogopesha. Hatua ya kwanza ya kuwa na mafanikio ni kuelewa ujuzi gani unao na ambao unakosa. Stadi hizi zote unaweza kujifunza, kwa hivyo ukitambua unakosa...
7 Reactions
25 Replies
7K Views
*TODAY TRAINING* *-hellow traders/investors kwa sku ya leo nitakuja kuelezea kwa ufupi juu ya mada yetu ya jana kwa faida ya yule ambae alikua hajui* *‍COIN MARKETCAP... (coin market...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*HOW TO MAKE MONEY WITH CRYPTOCURRENCY/WAYS TO MAKE MONEY WITH CRYPTO??* -cryotocurency kuna pesa nzuri tu na unaweza kuacha kazi zako zote na ukadeal na crypto and ikaendesha maisha yako na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana wajasiriamali natoa elimu jinsi ya kuwekeza na kutumia platform ambazo zinahusika na digital currency (cryto currency) example Bitcoin, Etherium, Bitcoin cash,Ripple, Verge,Cardano na...
0 Reactions
6 Replies
969 Views
Habari wakuu... Nna wazo la kufanya biashara ya kuuza sabuni za maji za usafi/chooni na za kufulia(za maji pia) so natafuta wilaya ambayo haina kabisa hizi bidhaa ili niwekeze huko. Am ready to...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Unakuta anajileta mpiga picha anapiga picha watu atakavyo yeye na kwenda kuzisafisha kisha kuziuza. Sio zote zinanunuliwa ma wahusika. Je hatuoni ni hatari picha yako kubaki na huyo mpiga picha...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar wana JF, Naomba kufahamishwa taratibu za kuwa wakala wa bima. ---Kiwango cha chini cha mtaji(pesa) cha kuanzia, ---Taratibu za usajili wa biashara ---N.k
1 Reactions
2 Replies
2K Views
___MAKOSA KATIKA PESA__ [emoji383]MONEY MISTAKE 1 Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara. Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba...
28 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari zenu wadau, hope mko mnaendelea vizuri ktk shughuli zenu za kiuchumi. Mimi ninaomba kuuliza kwa anayefahamu ivi kwa banks zetu apa TZ, zipi zinatoa huduma nzuri ya kufanya payments online...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Siandiki kwa maslahi yoyote zaidi ya kuwa mdau wa usafiri hasa kanda ya ziwa na nimeshasafiri mara mbili na basi la Super Sami na kushuhudia jinsi huduma zake zilivyo mbovu Ukienda kufanya...
1 Reactions
25 Replies
13K Views
Wadau najiuliza hii reli mpya ya kisasa inajengwa kwenye tuta lile la zamani au kuna tuta lake pembeni? Sijaona picha yoyote ya ujenzi huo naomba aliyenayo atuwekee hapa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshma kwenu wanajukwaa! Napenda kuwapongeza kwa mchango wenu mkubwa, hakika hapa ni supermarket ya mambo yote yahusuyo Biashara. Naomba kufahamishwa njia Za kufuata kusajili Micro Credit
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari; Kama kichwa kilivyo hapo juu nina shamba langu lina ukubwa wa heka 50 naweza pata mkopo benki? Je ni benki gani ina riba nafuu, Je kikomo cha kukopa kwa ukubwa huo ni kiasi gani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Watu wengi tumekuwa tunajiuliza kwamba Idea au wazo ni kitu gani? na kwa nini Idea? -IDEA ni kitu unacho kiamini na sio kitu unacho kifikiria au kukiwaza. KUAMINI kuna nguvu sana kuliko...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar za cku ya Leo , Kama nilivoeleza apo kuwa nahitaji kufungua mwalo ya kuzalisha udongo wa dhahabu unaotokana na mawe ya dhahabu yaliyo sagwa na kuoshwa ili baadae niweze kuuza huo udongo kwa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mfano, Mtu akiwa na duka la mangi, salon, na mgahawa maeneo tofauti, anapokadiriwa kodi yanaangaliwa mauzo katika biashara zote au kila biashara inakadiriwa kodi kivyake?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kupata mkopo tawi la Pride hapa Arusha imekuwa ngumu sana.Ukiomba mkopo wanasema hawana pesa.Wako ktk mchakato wa kulipa kodi.Kuna watu wamejitoa baada ya kuona hawapewi mikopo lakini kila wakidai...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya kauli iliyotolewa na rais JPM wakati akizindua kiwanda cha mafuta huko shinyanga kuwa ataongeza kodi kwenye bidhaa za mafuta zinazoingizwa nchini kutoka nje,bei ya mafuta yanaozalishwa...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
Kama kuipata ni tatizo,mimi ninayo,ila ipo katoro,unaitaji kuwa na hela ya kuanzia,ukipenda,ni Pm ntakuelekeza vzr
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Private sector inajiendesha bila kutumia kodi wala kupata ruzuku, ukifilisika umefilisika ndio maana hata wasomi wetu wengi hawapendi kujiajiri wenyewe wako tayari waajiriwe hata kwa ujira mdogo...
1 Reactions
4 Replies
971 Views
Back
Top Bottom