Wakuu salaam Nyingi ziwafikie.
Natumai mu wazima wa afya.
Kuna fursa nimeiona huku maeneo yetu ambayo naamini itanisaidia kupata hela ya matumizi madogo madogo ila nakwamishwa na suala la Capital...
Habari JF members.
Naomba msaada kwa yeyote anaefahamu kuhusu soko LA hisa, namna ya ufanyaji kazi na maelezo kuhusu hio. Hata kama kwa uchache nitashukuru. Karibuni sana.
Jamani nimeshindwa kutumia aplication ya avatrade na meta trade mt4 nimefungua hizo acount kama Demo ili nione namna ya biashara ilivyo ila nikioder ama nikinunua naona haiji profit yaaani baaada...
KUNA MDAU AMENIAMBIA KUWA KODI YA MAGARI AMBAYO IMESAMEHEWA NA TRA NI KODI YA MAGARI MAPYA NA SIO YA ZAMANI YAAN WENYE MADENI YAPO PALE PALE
JE WANA JF NAOMBENI KUJUZWA KODI IPI HASWA AMBAYO...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameunda Kamati Maalumu ya wajunge tisa (wabunge) itakayochunguza suala la uchimbaji wa Madini ya Almasi hapa nchini ambayo itafanya...
Licha ya uhakiki wa watumish kuendelea kila cku takriban benk nyingi zilisitisha mikopo kwa watumish.
Ninachotaka kuuliza kutoka kwenu Je! Fursa ya mikopo kutoka benk za CRDB na NMB kwa watumishi...
Habari...
Kwa kifupi kuna dada mfilipino amekuwa akipost vitu vya aina tofaut tofaut fb mfano nguo,simu,viatu etc..siku moja nikamfuata inbox nikaulizia bei kwa baadhi ya nguo nilizozipenda...
Habari wandugu nina M5 ninataka kuingiza katika biashara ya kununua ng'ombe mnadani huko mikoani halafu napeleka Dar kwenye mnada wa Pugu.
Mwenye ushauri juu ya biashara hii naomba anishauri...
Baada ya bei ya mafuta kusuasua duniani Angola ambayo ni moja ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Afrika, sasa imeamua kujitika katika kilimo cha ndizi ili kujipatia fedha za kigeni. Tutatazama...
Habari ya Jioni,
Naomba kwa wenye kufahamu maana ya BitCoin watufahamishe tusiojuwa,
Mara ya kwanza kisikia ni hivi majuzi wakati ulipotokea uharamia katika mitandao ''Cyber Crimes''. Kwamba...
HABARINI WANA JF....
mm ni mwanafunzi wa chuo na ninatamani sana kuja kua mkulima mkubwa wa mazao ya biasharakamampunga, mahindi,vitunguu,matikiti na mengineyo....
Kila kitu kina mwanzo wake...
wasalaam wakuu
pole na majukumu.
Ningependa kujua hela hiyo inafaa kwa biashara gani kwa kipindi hiki cha magufuli ili nihustle maana huwa napata laki 6 zinaisha bila chenji.
Heshima kwenu wakuu.
Nampa pongezi kubwa sana mkuu ONTARIO Kwa kutoa Siri nzito Sana ya mafanikio ambayo wengi wetu tuna roho za korosho na hatupendi wengine wapate.
MUNGU akubariki Sana ONTARIO...
Habari zenu,
salamu kutoka Italy,
nataka kusajili campuni mpya Tanzania, nimeangalia website ya BRELA na katika downloads zao, kuna sample ya Memorandum.
Sasa wasiwasi linakuja kwasababu...
Duh kweli hii nchi inaliwa na wenye nchi katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wasio na idadi
walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama...
STORY HIGHLIGHTS
The Dar es Salaam Port provides a gateway for 90% of Tanzanian trade and is also the access route to six landlocked countries including Malawi, Zambia, Burundi, Rwanda, and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.