Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Mengi ataja Mafisadi kwa majina
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu salaam Nyingi ziwafikie. Natumai mu wazima wa afya. Kuna fursa nimeiona huku maeneo yetu ambayo naamini itanisaidia kupata hela ya matumizi madogo madogo ila nakwamishwa na suala la Capital...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari JF members. Naomba msaada kwa yeyote anaefahamu kuhusu soko LA hisa, namna ya ufanyaji kazi na maelezo kuhusu hio. Hata kama kwa uchache nitashukuru. Karibuni sana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Redirect
Welcome and keep waiting
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Anayefahamu nauli ya treni kutoka dar es salaam hadi mbeya first class tafadhari
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Jamani nimeshindwa kutumia aplication ya avatrade na meta trade mt4 nimefungua hizo acount kama Demo ili nione namna ya biashara ilivyo ila nikioder ama nikinunua naona haiji profit yaaani baaada...
0 Reactions
Replies
Views
KUNA MDAU AMENIAMBIA KUWA KODI YA MAGARI AMBAYO IMESAMEHEWA NA TRA NI KODI YA MAGARI MAPYA NA SIO YA ZAMANI YAAN WENYE MADENI YAPO PALE PALE JE WANA JF NAOMBENI KUJUZWA KODI IPI HASWA AMBAYO...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Redirect
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameunda Kamati Maalumu ya wajunge tisa (wabunge) itakayochunguza suala la uchimbaji wa Madini ya Almasi hapa nchini ambayo itafanya...
0 Reactions
Replies
Views
Licha ya uhakiki wa watumish kuendelea kila cku takriban benk nyingi zilisitisha mikopo kwa watumish. Ninachotaka kuuliza kutoka kwenu Je! Fursa ya mikopo kutoka benk za CRDB na NMB kwa watumishi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari... Kwa kifupi kuna dada mfilipino amekuwa akipost vitu vya aina tofaut tofaut fb mfano nguo,simu,viatu etc..siku moja nikamfuata inbox nikaulizia bei kwa baadhi ya nguo nilizozipenda...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari wandugu nina M5 ninataka kuingiza katika biashara ya kununua ng'ombe mnadani huko mikoani halafu napeleka Dar kwenye mnada wa Pugu. Mwenye ushauri juu ya biashara hii naomba anishauri...
0 Reactions
Replies
Views
Baada ya bei ya mafuta kusuasua duniani Angola ambayo ni moja ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Afrika, sasa imeamua kujitika katika kilimo cha ndizi ili kujipatia fedha za kigeni. Tutatazama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Habari ya Jioni, Naomba kwa wenye kufahamu maana ya BitCoin watufahamishe tusiojuwa, Mara ya kwanza kisikia ni hivi majuzi wakati ulipotokea uharamia katika mitandao ''Cyber Crimes''. Kwamba...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
HABARINI WANA JF.... mm ni mwanafunzi wa chuo na ninatamani sana kuja kua mkulima mkubwa wa mazao ya biasharakamampunga, mahindi,vitunguu,matikiti na mengineyo.... Kila kitu kina mwanzo wake...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
wasalaam wakuu pole na majukumu. Ningependa kujua hela hiyo inafaa kwa biashara gani kwa kipindi hiki cha magufuli ili nihustle maana huwa napata laki 6 zinaisha bila chenji.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Heshima kwenu wakuu. Nampa pongezi kubwa sana mkuu ONTARIO Kwa kutoa Siri nzito Sana ya mafanikio ambayo wengi wetu tuna roho za korosho na hatupendi wengine wapate. MUNGU akubariki Sana ONTARIO...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari zenu, salamu kutoka Italy, nataka kusajili campuni mpya Tanzania, nimeangalia website ya BRELA na katika downloads zao, kuna sample ya Memorandum. Sasa wasiwasi linakuja kwasababu...
0 Reactions
Replies
Views
Duh kweli hii nchi inaliwa na wenye nchi katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wasio na idadi walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
STORY HIGHLIGHTS The Dar es Salaam Port provides a gateway for 90% of Tanzanian trade and is also the access route to six landlocked countries including Malawi, Zambia, Burundi, Rwanda, and...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom