Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

habari wadau.. nawaza tu kwa maoni yangu haya mashindano yangefutwa tu. yana bajeti kubwa sana huku impact yake kwenye jamii ni ndogo sana.. nimeona miss morogoro mshindi wa mkoa tu kapata ist...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau, Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari za majukumu wakuu... Nimekua na mawazo sana ya kutaka kufanya hiyo shughuli ya uuzaji wa samaki lakini sio mimi binafsi ni kumpa mtu mwengine. Sasa kinachomifanya hadi leo sijapata...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
wakuu habari, wenye ujuzi kuhusiana na biashara hii ya ku print flyers,posters,labels, packaging , bronchures,outdoor banners na mabango ya matangazo ya aina zotenaomba afunguke hapa kwa manufaa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ethiopia nchi ya wakaazi 100, 000 wengi wao hawana account za benki tena si matajiri wa pesa kubwa kubwa, perfect market for MPESA to suceed... Naona Ethiopia ikiipiku Kenya kwa numbari ya wateja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wapenzi poleni na majukumu ya kutwa nzima, Nauliza; nataka nianze kurusha vocha za airtel maeneo ninayoishi ,je nawezaje kujiunga na hio hudumu kwa line yangu ya Airtel ya kawaida...
2 Reactions
25 Replies
8K Views
Yaani kuna Madirisha 6 lakini kuna teller mmoja tu naye anafanya kazi polepole kama kaajiriwa jana. Wafanyakazi wengine wapo tu wanalanda landa tu kila kona Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kushirikishana sio vibaya, toka nimeajiliwa huu mwaka wa nane sasa, sijawahi pandishwa dalaja. Nina mradi wa kuku na biashara nyingine ndogondogo tatu, nikijumlisha mapato yake ni mara mbili ya...
7 Reactions
42 Replies
8K Views
Wakulima wa Mahindi wanahaha hawajui cha kufanya. Wanavuna miezi hii lakini bei ni mbaya sana kulingana gharama za uzalishaji. Kwa wakulima wa pale Mbeya Farm price ni sh 150/=kwa kilo au kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mfano. Nisahihi injinia kuacha fani yake nakwenda kufanya biashara ya mbao?. Au daktari kuacha fani yake na kwenda shamba kulima?. Maoni yenu tafadhali.
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, nina business idea ambayo itawafaa sana makampuni ya simu namaanisha kama vile Tigo, Vodacom, Airtel au TTCL. Nahitaji msaada wa kuelekezwa ni kwa namna gani naweza...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu nina dharula nahitaji TZS 300,000 kwa haraka naweka dhamana hati ya kiwanja na ntarudisha TZS 330,000 tarehe 30 July 2018.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
habar za muda huu wadau mko powaaa?? twende kwenye mada sasa hivi karibuni nimefanikiwa kufungua duka seem fulani chaajabu ni kwamb biashara sio nzur kwa upande wangu while majiran zangu...
1 Reactions
33 Replies
11K Views
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet...
23 Reactions
48 Replies
9K Views
Habari, Limezuka deal kwa mabenki kuweka noti za 5,ooo kwa wingi ili watu watoe hela mara nyingi na benki kuvuna hela ya kutolea. Hii siyo sawa kwani noti za 1o,ooo ikiwa unatoa 1mln utatoa mara...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
hi forum! kwa mzoefu au mwenye kufaham mtaji wa kuanzisha game play station (PS) unaweza kufikia kias gani? ignore kodi ya flame! msaada.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nahitaji kumfungulia wife biashara, baada ya kuongea nae yy binafsi ana wazo la kufungua duka la kuuza na kuoka cake za harusi, send off, birthday n.k ila mm binafsi nilikuwa nafikiria kumfungulia...
3 Reactions
18 Replies
10K Views
Jamani ninaomba msaada juu ya haya maswali yanayonitatiza. 1. Je mabango ya piashara yanapaswa kulipiwa kodi? Kama ndio, 2. Ninaomba kujulishwa juu ya Mchanganuo wa gharama zake. 3. bango lenye...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Hizo bei ni tiketi za (booking) ya mwezi august kati ya august 31 na sept 7 2018 muone nani anamsaidia mnyonge ...
3 Reactions
90 Replies
19K Views
Back
Top Bottom