habari wadau..
nawaza tu kwa maoni yangu haya mashindano yangefutwa tu. yana bajeti kubwa sana huku impact yake kwenye jamii ni ndogo sana..
nimeona miss morogoro mshindi wa mkoa tu kapata ist...
Habari wadau,
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za...
Habari za majukumu wakuu...
Nimekua na mawazo sana ya kutaka kufanya hiyo shughuli ya uuzaji wa samaki lakini sio mimi binafsi ni kumpa mtu mwengine.
Sasa kinachomifanya hadi leo sijapata...
wakuu habari, wenye ujuzi kuhusiana na biashara hii ya ku print flyers,posters,labels, packaging , bronchures,outdoor banners na mabango ya matangazo ya aina zotenaomba afunguke hapa kwa manufaa...
Ethiopia nchi ya wakaazi 100, 000 wengi wao hawana account za benki tena si matajiri wa pesa kubwa kubwa, perfect market for MPESA to suceed... Naona Ethiopia ikiipiku Kenya kwa numbari ya wateja...
Habari zenu wapenzi
poleni na majukumu ya kutwa nzima, Nauliza; nataka nianze kurusha vocha za airtel maeneo ninayoishi ,je nawezaje kujiunga na hio hudumu kwa line yangu ya Airtel ya kawaida...
Yaani kuna Madirisha 6 lakini kuna teller mmoja tu naye anafanya kazi polepole kama kaajiriwa jana. Wafanyakazi wengine wapo tu wanalanda landa tu kila kona
Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika...
Kushirikishana sio vibaya, toka nimeajiliwa huu mwaka wa nane sasa, sijawahi pandishwa dalaja. Nina mradi wa kuku na biashara nyingine ndogondogo tatu, nikijumlisha mapato yake ni mara mbili ya...
Wakulima wa Mahindi wanahaha hawajui cha kufanya. Wanavuna miezi hii lakini bei ni mbaya sana kulingana gharama za uzalishaji.
Kwa wakulima wa pale Mbeya Farm price ni sh 150/=kwa kilo au kwa...
Mfano.
Nisahihi injinia kuacha fani yake nakwenda kufanya biashara ya mbao?.
Au daktari kuacha fani yake na kwenda shamba kulima?.
Maoni yenu tafadhali.
Heshima kwenu wakuu, nina business idea ambayo itawafaa sana makampuni ya simu namaanisha kama vile Tigo, Vodacom, Airtel au TTCL. Nahitaji msaada wa kuelekezwa ni kwa namna gani naweza...
habar za muda huu wadau
mko powaaa??
twende kwenye mada sasa
hivi karibuni nimefanikiwa kufungua duka seem fulani chaajabu ni kwamb biashara sio nzur kwa upande wangu while majiran zangu...
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea
Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet...
Habari,
Limezuka deal kwa mabenki kuweka noti za 5,ooo kwa wingi ili watu watoe hela mara nyingi na benki kuvuna hela ya kutolea.
Hii siyo sawa kwani noti za 1o,ooo ikiwa unatoa 1mln utatoa mara...
Nahitaji kumfungulia wife biashara, baada ya kuongea nae yy binafsi ana wazo la kufungua duka la kuuza na kuoka cake za harusi, send off, birthday n.k ila mm binafsi nilikuwa nafikiria kumfungulia...
Jamani ninaomba msaada juu ya haya maswali yanayonitatiza.
1. Je mabango ya piashara yanapaswa kulipiwa kodi?
Kama ndio,
2. Ninaomba kujulishwa juu ya Mchanganuo wa gharama zake.
3. bango lenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.