Nina shida na hicho kifaa ila sijui wapi ntapata.Kwa anayefahamu anijuze tafadhali
Niajiri tupeleke mahindi kusini maana kule kuna njaa wakati mikoa mingine 8000 kule lishafika 15Habari wadau;
Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo
Asnateni kwa msaada
Niajiri tupeleke mahindi kusini maana kule kuna njaa wakati mikoa mingine 8000 kule lishafika 15
Habari wadau;
Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo
Asnateni kwa msaada
ni pm nikupe wazo la biashara
Mkuu vingine vinapendeza zaidi vikifanyika hadharani kwa maslahi watu wengi zaidi
Sema ni biashara gani mkuu hapa mjini tukuchekimm nipo singida kuna biashara fulan amaizing kama kuna mtu ana mtaji wake na hajui pa kuupeleka
Mkuu hardware ipi iyo?Hardware sio mchezoJaribu Hardware,kama ukipata eneo zuri,utafanikiwa sana,unaweza fungua duka moja kubwa au ukawa na mawili ya size ya kati..
Ninafahamu ila for a start unaweza kuanza na hiyo hela,ingawa sio mzoefu sana ila huo ni mtazamo wangu..Mkuu hardware ipi iyo?Hardware sio mchezo
Awe na hardware mbili kwa 15M?Jaribu Hardware,kama ukipata eneo zuri,utafanikiwa sana,unaweza fungua duka moja kubwa au ukawa na mawili ya size ya kati..
Stephot biashara ya hardware inahitaji mtaji mkubwa.Lakini pia huchukua muda kuweza kusimama!!!Na location ni muhimu sana wakati wa kuweka ofisi,mfano karibu na garages zilipo,n.kNinafahamu ila for a start unaweza kuanza na hiyo hela,ingawa sio mzoefu sana ila huo ni mtazamo wangu..
Habari wadau;
Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo
Asnateni kwa msaada
Nitafute nikuuzie barbershop kwa 10ml nzuri kubwa ina viti vitano, kila week kwa week utapata laki moja, kwa vitano laki tano, kwa mwezi million mbili hapo bado hujapata deal za maharishi. Gharama zako ni service za mashine, jenereta, AC, na kodi ya nyumba.
karibu uwe partner kwenye biashara ya club inayotegemewa kufunguliwa hivi punde only6 miilion needed from youHabari wadau;
Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo
Asnateni kwa msaada
Niajiri tupeleke mahindi kusini maana kule kuna njaa wakati mikoa mingine 8000 kule lishafika 15
Hivi ile ni nico au dico?Milioni 3 nyingi sana kwa kuanza labda ucheze niko.