October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,995
Salaam wadau
Katika moja ya idea(project) zangu zilizo kichwani ni biashara ya kukodisha makokoteni, dhumuni kubwa la kutaka kuanzisha hii biashara ni kukuza au kutengeneza mtaji wangu mwenyewe wa kuanzisha biashara zingine kubwa kubwa.
Nilimuuliza mtu mmoja ambaye kazi yake kusukuma mkokoteni akaniambia kuwa pesa ya kumpa mwenye mkokoteni ni makubaliano kwa yeye anampa 1000/= kwa siku, pia aliniaambia kama unaitaji kutengeneza kokoteni jipya pesa yake ni around 100,000/= mpaka 120,000/=
Kwa investigation zangu za haraka nikaona kama ndio hivyo hili faida iweze kupatikana angalau nitaitajika kuanza na makokoteni matatu kwa hesabu zifuatazo
Kokoteni 3 = 300,000/= yakutengenezea
Nikiingiza kwenye biashara
Kila Kokoteni moja =1200/day kukodisha
1200×3 kokoteni= 3600/day
Hivyo 3600/= kwa mwezi ninauwezo wa kuongeza lengine la nne hivyo hivyo la tano mwisho la sita ambapo nina target nikiwa nayo sita ndipo kikomo, nitakuwa naingiza 6000/= per day ambayo kwa mwezi ni 200,000/=
Nikifikia 200,000/= kwa mwezi hapa ndipo nitaanza kuhifadhi pesa zangu mpaka muda husika ambapo kwa mimi ni mwezi wa saba 2019 jumla kwa mahesabu yangu nitakuwa na minimum 2000,000/= si baba
Vipi kuusu hii investigation wakuu unajua nimeeleza katika linear form kuna fall and down na changamoto lakini siwezi kuzipima izo, kwa mwenye ushauri apa aweke
The List
Katika moja ya idea(project) zangu zilizo kichwani ni biashara ya kukodisha makokoteni, dhumuni kubwa la kutaka kuanzisha hii biashara ni kukuza au kutengeneza mtaji wangu mwenyewe wa kuanzisha biashara zingine kubwa kubwa.
Nilimuuliza mtu mmoja ambaye kazi yake kusukuma mkokoteni akaniambia kuwa pesa ya kumpa mwenye mkokoteni ni makubaliano kwa yeye anampa 1000/= kwa siku, pia aliniaambia kama unaitaji kutengeneza kokoteni jipya pesa yake ni around 100,000/= mpaka 120,000/=
Kwa investigation zangu za haraka nikaona kama ndio hivyo hili faida iweze kupatikana angalau nitaitajika kuanza na makokoteni matatu kwa hesabu zifuatazo
Kokoteni 3 = 300,000/= yakutengenezea
Nikiingiza kwenye biashara
Kila Kokoteni moja =1200/day kukodisha
1200×3 kokoteni= 3600/day
Hivyo 3600/= kwa mwezi ninauwezo wa kuongeza lengine la nne hivyo hivyo la tano mwisho la sita ambapo nina target nikiwa nayo sita ndipo kikomo, nitakuwa naingiza 6000/= per day ambayo kwa mwezi ni 200,000/=
Nikifikia 200,000/= kwa mwezi hapa ndipo nitaanza kuhifadhi pesa zangu mpaka muda husika ambapo kwa mimi ni mwezi wa saba 2019 jumla kwa mahesabu yangu nitakuwa na minimum 2000,000/= si baba
Vipi kuusu hii investigation wakuu unajua nimeeleza katika linear form kuna fall and down na changamoto lakini siwezi kuzipima izo, kwa mwenye ushauri apa aweke
The List