flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Kuna uzi uliletwa humu kama sikosei ilikuwa tarehe 22 February uliosema kuwa fursa yakujipatia pikipiki mpya kwaajili yakufanyia kazi kutoka kwawaziri waviwanda nauwekezaji Ndugu Charles mwijage napakawa naemail yake.
Mimi nikafanya kama kumtumia email yakuhitaji hiyo pikipiki nikajieleza vizuri ilikuwa tarehe 23 hiyo mwezi wapili najana tarehe 7 mwezi huu wa3 kanijibu kuwa nimejishindia pikipiki naakawa kanipa email nyingine kwaajili yakuwasiliana nahuyo anayesimamia kuzitoa hizo pikipiki nakwel hiyohiyo jana nikamtafuta huyo muhusika naleo hii ndio kanijibu kuwa ameweza kuthibitisha kuwa mimi nimiongoni mwawashindi naameniambia nitume picha yakitambulisho changu cha taifa.
Majina kamili pamoja nasehemu nilipo ila kilichonistua nikuniambia kuwa nitume nashilingi laki moja kwaajili yalogbook pamoja na plate namba, nanamba ya akaunt amenipa jina labenk ni bank of Africa
Sasa jamani nauliza hivi siwezi kupigwa hapo nakama kuna anayefahamu basi anaweza nielewesha hapo
Mimi nikafanya kama kumtumia email yakuhitaji hiyo pikipiki nikajieleza vizuri ilikuwa tarehe 23 hiyo mwezi wapili najana tarehe 7 mwezi huu wa3 kanijibu kuwa nimejishindia pikipiki naakawa kanipa email nyingine kwaajili yakuwasiliana nahuyo anayesimamia kuzitoa hizo pikipiki nakwel hiyohiyo jana nikamtafuta huyo muhusika naleo hii ndio kanijibu kuwa ameweza kuthibitisha kuwa mimi nimiongoni mwawashindi naameniambia nitume picha yakitambulisho changu cha taifa.
Majina kamili pamoja nasehemu nilipo ila kilichonistua nikuniambia kuwa nitume nashilingi laki moja kwaajili yalogbook pamoja na plate namba, nanamba ya akaunt amenipa jina labenk ni bank of Africa
Sasa jamani nauliza hivi siwezi kupigwa hapo nakama kuna anayefahamu basi anaweza nielewesha hapo