Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Majina ya wamiliki wa DOWANS yaliyotolewa na Msanii na kuwadi wa RA, Waziri Ngeleja ni majina ya wafu, na yameundwa baada ya ziara ya fisadi RA kurudi safari zake za Asia na Uarabuni, ambapo bila wasiwasi tunagundua kuwa ndiko majina ya wanaotajwa na msanii Ngeleja kama ndio wamiliki. Inauma sana kuona udanganyifu huu kwa umma.
Naomba kuuliza, je haya yafuatayo hayawezekani kufanyika?
* kuandamana ili Ngeleja ajiuzulu kwa kuudanganya umma na kushindwa kuongoza wizara hii muhimu kwa umma?
* tuandamane kuomba interpol imkamate RA kwa kuvuruga utulivu wa nchi, kuongoza ufisadi na kuongoza utapeli na ufisadi wa kimataifa?
* kuandamana kuomba serikali itangaze wahusika wa 'biashara ya unga' ambapo RA tuna uhakika anahusika na ndio mkondo wake.?
Naomba kuwasilisha tujadili.
Naomba kuuliza, je haya yafuatayo hayawezekani kufanyika?
* kuandamana ili Ngeleja ajiuzulu kwa kuudanganya umma na kushindwa kuongoza wizara hii muhimu kwa umma?
* tuandamane kuomba interpol imkamate RA kwa kuvuruga utulivu wa nchi, kuongoza ufisadi na kuongoza utapeli na ufisadi wa kimataifa?
* kuandamana kuomba serikali itangaze wahusika wa 'biashara ya unga' ambapo RA tuna uhakika anahusika na ndio mkondo wake.?
Naomba kuwasilisha tujadili.