OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mkurugenzi mtendaji wa New Habari corporation Hussein Mohamed Bashe Amemteua Deodatus Balile kuwa mhariri mtendaji wa New Habari Corporation ,Kabla ya Uteuzi huo Balile alikuwa ni mhariri Mtanzania .Taarifa iliyotolewa Bashe inasema uteuzi huo unatokana na muundo mpya wa kampuni ,Balile anachukua nafasi liyoachwa wazi na Mhingo Lyemamu ambaye kwa sasa ni Msaidizi (Personal asistant) wa Yusuph Manji.Dany Mwakiteleko anaendelea na wadhifa wake Naibu Mhariri ,Uteuzi huu unaanza Mara moja
Wana JF tuanaomba mwenye Cv ya Balile aiweke hapa jamvini
Wana JF tuanaomba mwenye Cv ya Balile aiweke hapa jamvini