kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,030
- 2,168
Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe