JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari zenu wakuu, Naomba uzoefu kwa ambaye ameshawahi kuitumia hii gari (Swift) anipe uzoefu wake kwenye mambo yafuatayo: 1. Uimara kwenye barabara zetu za mikoani. 2. Upatikanaji wa spare parts...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Wakuu poleni na majukumu, Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima...
13 Reactions
62 Replies
4K Views
Wakuu natumai mu wazima! Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja. Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
26 Reactions
205 Replies
10K Views
Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana. Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Hello Great Thinkers, Naomba kuuliza hivi hizi Tractor za kuvuta trailers Ni ipi bora zaidi kati ya hizi za kichina HOWO na Scania. Ndio Naomba mungu mwaka huu ninunue kichwa kimoja kati ya hizi...
3 Reactions
255 Replies
80K Views
Wakuu. Najua wengi uwa tunajiuliza, inakuaje gari la mwaka 2015 linatoka Japan likiwa na Kilometa 100,000 linafika Tanzania baada ya mwaka mmoja linaonekana chakavu ova limekaa miaka 20 mbele? Ni...
14 Reactions
10 Replies
809 Views
Hatujawahi kosa jibu ama solution humu. Nimeona magari yanakuwa na Plate Number Nyeusi zikiwa na format ya namba na herufi za kawaida Mfano T 747 DFY Ila kibao kinakuwa cheusi. Humaanisha nini ?
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Hakuna anayebisha kwamba kitendo cha kukutana na namba E zikiwa nyingi mtaani kinatosha kutupa ishara kwamba idadi ya magari yanayonunuliwa na kuingizwa Tanzania inazidi kuongezeka mara dufu siku...
9 Reactions
14 Replies
866 Views
Audi A4 ni line ya compact executive cars ambazo zimekua kwenye uzalishaji tangu 1994 huko German na Audi ambayo ni subsidiary ya Volkswagen Group, Subsidiary yani ni kama CCM na ACT hivi [Jokes]...
28 Reactions
84 Replies
15K Views
Chasis ya Scania Bus engine nyuma Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo...
62 Reactions
1K Replies
126K Views
Habari za mida hii wanajf. Kama kichwa kinavyosomeka. Kuna jambo huwa najiuliza kwenye suala zima la kuagiza gari kwa kutumia beforward, tcv, sbt, n.k. Nikipitia kwenye websites zao unakuta...
1 Reactions
9 Replies
664 Views
Anayeifahamu kwa kina (consultant) wa hiyo gari kabla sijachukua. Nimedhamiria ya 2010, 7seats na nalipia next week. Nahitaj mshaur mtaalam na mzoef na ikibid nimwone kama yu Dar. Pia naomba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu wa jamvi habari zenu, Nipo kwenye uchaguzi Kati ya gari hizo mbili. Nataka my second car iwe kati ya hizi gari mbili. Nahitaji performance, fuel consumption nzuri, comfortability, stable...
1 Reactions
62 Replies
17K Views
Habari za asubuhi wadau, nimeona sehemu hii gari "SUZUKI SWIFT" INAUZWA Naomba kufahamu uimara wake na shida zake hii gari kabla sijafanya maamuzi. Na ambatanisha na Picha. Natanguliza Shukrani...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Wadau na wataalamu wa Magari naombeni ushauri gari yangu ninapowasha AC inatumia mafuta mengi sana. Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Moja ya gari nayoiamini ktk utendaji wangu wa kila siku Nissan Y60
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Je, Guta zilizofungwa engine za pikipiki ni vyombo vya moto? Na je, ni kwanini hazisajili na kupewa namba za usajili?
2 Reactions
9 Replies
397 Views
Kumiliki gari na kumaintain gari ni vitu viwili tofauti, ndo maana unaweza kuta mtu ananunua gari kwa furaha anafanya na sherehe mambo ya maintenance yakianza inakua balaa.. . Unaanza kuona gari...
26 Reactions
23 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, hatimaye ndugu yenu nimedunduliza pesa kdg na kupata kutimiza ndoto ya kuwa na gari. Nimepata option 2, ist (model ya zamani) ambazo ndiyo nyingi au belta zote zina bajeti...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna habari gani?
9 Reactions
105 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…