kalanga
Member
- Feb 2, 2011
- 79
- 68
Wadau na wataalamu wa Magari naombeni ushauri gari yangu ninapowasha AC inatumia mafuta mengi sana.
Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC naishia 8KM/L. Gari ni 1490CC Toyota Premio F.
Nilibadilisha Plug lakini bado.Gari bado ni mpya ndio kwanza imetea KM 43000.
Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC naishia 8KM/L. Gari ni 1490CC Toyota Premio F.
Nilibadilisha Plug lakini bado.Gari bado ni mpya ndio kwanza imetea KM 43000.