Kumiliki gari na kumaintain gari ni vitu viwili tofauti, ndo maana unaweza kuta mtu ananunua gari kwa furaha anafanya na sherehe mambo ya maintenance yakianza inakua balaa..
.
Unaanza kuona gari...
Habari ndugu wana jamii forum,
Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa...
1. Wizi wa kutumia mfumo wa Keyless. Wizi wa keyless au wizi wa relay ni wizi ambao huusisha watu wawili ambao hufanya uhalifu huu kwenye magari ambayo yameegeshwa nyumbani. Wizi huu huusisha...
Hizi engine za kisasa za toyota ambazo zimekuja na Aluminium block ni nzuri ikiwa haijawahi pata shida ya kuchemsha.
Ila kama ikitokea ikachemsha halafu ukarekebisha bado matatizo ya kuchemsha...
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo...
Naombeni msaada mwenye uzoefu au ufahamu wa hayo magari matatu lipi ni bora katika vipengele vya
1. Utumiaji mafuta
2. uimara
3. Speed
4. Kupatikana vipuri
5. Ukisasa zaidi
6. Mwonekano mzuri.
7...
Wife toka last week anataka nimnunulie Toyota Premio ya 2007. Nimeiangalia hii gari engine yake ni 1990 CC, D4.
Kuna kipindi mafundi wengi walikuwa wanaziogopa sana engine za D4. Je, wadau...
✓Gari kukosa nguvu ni kitendo cha gari kushindwa kufanyakazi kazi katika uwezo wake wa kawaida kitaalamu matatizo yanayopelekea gari kukosa nguvu yamegawanywa katika makundi matatu nayo ni...
Salaam kwenu,
Kati ya malengo yangu mwaka huu ni kubadilisha gari, basi nikaingia sokoni kusaka gari mpya nikavutiwa na Toyota Rush ambayo ina 4 wheel drive na pia cc zake sio kubwa ni 1490 ila...
Habari ndugu wana Jamii forum,
Leo wakati natoka kwenye mishe mishe zangu nikiwa nadrive, nimegundua taa ya indicator ya kulia inablink harakaharaka kushinda ya kushoto je ni tatizo.
Naomben...
Brake fluid kuvujia onto brake booster housing... yaani kwenye makutano ya Master Cylinder na Booster panavuja mpaka rangi ya booster housing imemenyeka (booster paint peeling off) coz of such...
Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zinavitu vingi sana...
Wakuu habari zenu, hatimaye ndugu yenu nimedunduliza pesa kdg na kupata kutimiza ndoto ya kuwa na gari.
Nimepata option 2, ist (model ya zamani) ambazo ndiyo nyingi au belta zote zina bajeti...
Wakuu habari,
Naomba kujua gari Aina ya mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngap maana wengine wanasema Lita 4 wengine lita5 na Mimi nimeweka lita4 nimeona kabisa ipo full kwenye...
Habari wana JF.
Naombeni ushauri kwa mafundi au yeyote anayeweza kujua tatizo la gari langu.
Nina gari aina ya Hirrier vijana wanaita (matako ya nyani). Gari hili nimenunua mwishoni mwa mwaka...
Habari Bandungu.!
Nafakiria kuvuta hii chuma hivi karibuni, ila kabla sijavuta naombeni experience kwa ambao tayari wamezitumia kuhusu realibility, stability handling na fuel consumption...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.