JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wazoefu wa magari naombeni uzoefu wenu juu ya haka kagari upande wa matengenezo yake kama upatikanaji wa spea zake na ustahimilivu pia.Ni nini cha kuzingatia hasa maana nahitaji kununua used kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa East cars, dr.Mechanics, Mshana jr, Samatimes
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Sote tunajua engine ndio kitu cha msingi zaidi kwenye gari kwani kupitia injini ndo tunapata mjongeo wa gari na sehem nyingine kufanya kazi. Watu wengi humiliki magari bila kujua namna bora ya...
3 Reactions
7 Replies
990 Views
Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Jee ukinunua gari mpya kutoka nje ya nchi pale bandarini kuuingiza nchini TRA wanakata sh ngap? Mfano nimenunua gari ya kutembelea ndogo ya milioni 5 jee kwa hii gari watanikata shilingi ngapi?
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Juzi nilisafiri kwenda nje ya mkoa ambako ilitarajiwa nikae siku 5. Kwa ajili ya mazingira ya usalama nikaamua gari niliache kwa rafiki yangu ambae pia tuna kawaida ya kuachiana magari endapo...
11 Reactions
38 Replies
1K Views
Nimetembelea mkoa wa Mtwara, nikiwa na gari aina ya Toyota Alphard. Changamoto inayonileta mbele yenu ni kwamba AC inapiga sana kelele kiasi kwamba huwezi kuvumilia. Naomba msaada nijulishwe...
6 Reactions
25 Replies
520 Views
Habari great thinkers Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/= Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wakuu kuuliza sio ujinga.
2 Reactions
18 Replies
869 Views
Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji. Kwenye reserve...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Ngoja nikupe facts why crown ni better kuliko mark x Crown ina space kubwa ndani kuliko mark x, nia pana zaidi, hata. Ukiingiia kwa hizi gari mbili utajionea Crown ina more comfortable seats...
16 Reactions
35 Replies
8K Views
Ukitaja magari kumi reliable ya toyota basi toyota prius haiwezi kosa top three, ni gari ambayo ni ngumu na reliable sanaa,comfortable ina smooth ride na nzuri sana kwa misele ya mjini na foleni...
15 Reactions
113 Replies
11K Views
Wakuu habari za wakati huu? Ningependa kufahamu hizi gari zimekumbwa na shida gani mpaka watu kuanza kuziuza kwa kasi sana tena kwa bei kutupa kwa gari kali na yenye hadhi kama hii. Imefikia...
14 Reactions
163 Replies
14K Views
Higer inauzwa Engine_Scania 93 Model KLQ6145A Siti 52 Inatembea ila inachemsha Bei_ Tzsh30,000,000/= Call,sms,whatsap 0759399805
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Kwa muda sasa redio yangu haina remote kitu ambacho hunifanya ili nibadilishe njia ya matumizi ya redio au tv kunilazimu nisimame nikabonyeze button. Je, ninaweza kupata remote yenye uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
192 Views
1. Prado (ubora na wingi) 2. Subaru (ubora na wingi) 3. Rav4 (wingi) 4. Vitz (wingi) 5. IST (wingi) Usichanganye bajaji na IST, IST ni gari.
5 Reactions
13 Replies
796 Views
Jamani nimetafakari kuhusu biashara zangu nikaona bila kuwa na usafiri wangu binafsi nitaendelea kuteseka mno kwa kudandia dandia za watu. Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
[emoji599]: Unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini? T” inamaanisha “Turbo Charger” na X ni “maximum traction” ni sawa na kusema all-wheel-drive,na pia inauwezo mkubwa wa kutembea...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Hello wana JF, Naomba mtu anayefahamu fundi wa Mitsubishi anisaidie kwa Arusha. Gari inachelewa sana kubadili gear na inatembea kwa rpm kubwa sana kwa speed ndogo na kuna muda inakosa nguvu...
1 Reactions
6 Replies
305 Views
Back
Top Bottom