how tulikuwa watumwa
Member
- Jul 23, 2023
- 38
- 136
Wakuu poleni na majukumu,
Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapojizima tena.
Kwahiyo nilikuwa naomba kwa mwenye uelewa anisaidie maana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua.
Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapojizima tena.
Kwahiyo nilikuwa naomba kwa mwenye uelewa anisaidie maana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua.
Habari wakuu napenda nitoe update ya Gari yangu juu ya shida ya kujizima shida ilikua sensa nimerekebisha hilo na gari iko sawa. Sensa ya milango ilikuwa inaliingilia gari linapokuwa speed na kulizima. Asanteni