Yaweza kuwa msaada Hii post #4 hapa: Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwakibao kinakuwa cheusi
Hao ni watu wa bunge😂Kuna gari nimeiona Mwenge haina plate namba!
ni gari kama hiace hivi ila yenyewe haina madirisha, dirisha ni ile mbele kwa dereva tu.
hiyo nayo ni gari za aina gani?
Mkuu, hizo color kwenye maneno unawekaje?Yaweza kuwa msaada Hii post #4 hapa: Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa
swadaktaaaYaweza kuwa msaada Hii post #4 hapa: Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa
NakaziaPicha kwanza
Kama hivi? Natumia browser options zipo juuMkuu, hizo color kwenye maneno unawekaje?
Naomba maujanja mkuu wangu.
Kama hivi? Natumia browser options zipo juu
Cc : mahondawNgoja waje kukupa muongozo...
Unafahamu jibu?Hili swali hata jamii forums mmeshindwa kulijibu