FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Je, Guta zilizofungwa engine za pikipiki ni vyombo vya moto?
Na je, ni kwanini hazisajili na kupewa namba za usajili?
Na je, ni kwanini hazisajili na kupewa namba za usajili?
ndiyo si kama gobore tu 🐒Na je, ni kwanini hazisajili na kupewa namba za usajili?
Tatizo la pikipiki inabidi ufuaye sheria za barabarani, sasa ukizivunja utapigwa faini vipi bila usajili?Mi nashauri hata pikipiki zenyewe zianze kuishi kama baiskeli tu.
Zisisajilowe wala nn. Aaani kuziagiza iwe kama kuagiza Tv au friji tu.
Si mnakumbuka hadi baiskeli zilikuwa na sheria sijui taa ushuru sijui nini baadaye tukaziacha. !!??
Kweli asee.Tatizo la pikipiki inabidi ufuaye sheria za barabarani, sasa ukizivunja utapigwa faini vipi bila usajili?
Chombo cha moto ni nini?