JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ni katika muendelezo ule ule wa Dualis a.k.a sigala na vayolensi za moto, nakuletea nyingine hii ni DXF imelipuka huko iliko lipukia. Ifike mahali hizi gari na kuwaka moto zimalize tofauti zao. Ni...
5 Reactions
58 Replies
5K Views
Wakuu kwema. Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika. Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B...
24 Reactions
38 Replies
897 Views
Habari wakuu, Utamshauri mtu anunue gari ipi kati ya gari hizo mbili kwa kuzingatia vigezo vya mazingira ya miundombinu ya barabara zetu, hali ya kiuchumi (kipato cha kati) na upatikanaji wa...
4 Reactions
57 Replies
5K Views
Inaonekana muundo wa gearbox kwa magari ya "brevis" ni dhaifu sana kwasababu magari karibu yoote used utakuta kipengere ni gearbox! Wajuzi tupe elimu!
2 Reactions
1 Replies
139 Views
Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani? Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine...
24 Reactions
587 Replies
33K Views
Habarini wa kuu nina kigari changu Toyota cami cc1290 wakuu kinakunywa mafuta kama defender nisaidieni wataalam nini cha kubadilisha?
2 Reactions
3 Replies
236 Views
habari ndugu naomba kujua vizuri kuhusu bmw 3series gt 2013 - 2015 au 5series gt uzuri wake na ubaya pia
3 Reactions
29 Replies
967 Views
Watu wana balaa na dharau za mapesa. Huko Dubai mvua zimeleta majanga ya mafuriko hadi miundombinu kama barabara na airports kuacha kufanya kazi kwa muda. Sasa kuna jitu lenyewe halijali...
8 Reactions
10 Replies
664 Views
Habari wakuu. Shida ya alarm ya mafuta kuwa yameisha inanisumbua. Nimeweka mafuta ya elfu 20 lakini nilipotembea km 6 tu ikaanza kuflash. Nikaamini shell wameniibia, nikaongeza ya elfu 10...
2 Reactions
25 Replies
498 Views
Unaweza usielewe kichwa cha habari lakini pindi utakaposoma mpaka mwisho utaelewa hivyo nakusihi usome mpaka mwisho. Katika chombo chochote kinachoitwa cha moto injini ni Moyo wa chombo hicho...
2 Reactions
0 Replies
243 Views
Huku bei ya mafuta ikiendelea kupanda kila kukicha ndani ya hii miaka mitano (kutoka Tsh 2100/= hadi sasa Tsh 3300/=) na hamna "dalili" kuona bei ikishuka, ni muda wa Watumiaji kubadirisha...
15 Reactions
25 Replies
914 Views
Hii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV. Zinafanana sifa katika utendaji kama vile: 1. Ukubwa wa umbo 2...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Ukiangalia mifumo ya dunia mingi ni universal, lakini hali ni tofauti kwenye uendeshaji wa magari! Kuna nchi unaendesha kushoto, nyingine kulia, nisichoelewa ni kipi kilisababisha wasikubaliane...
5 Reactions
7 Replies
386 Views
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu ningependa mtu mwenye uzoefu na Hilo gari kushea na sisi humu ndani
2 Reactions
7 Replies
455 Views
Kama wewe ni moja ya wale wanaopenda walahu kujua kwa mwonekano baadhi ya vipuri vya magari hasa katika engine ambapo wengi wetu tumekuwa tukisumbuana na mafundi wanapotuelezea vifaa vipi vimeisha...
1 Reactions
9 Replies
389 Views
Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania. Gari hizi zinavitu vingi sana...
22 Reactions
222 Replies
39K Views
Wakuu,amani iwe nanyi. Naombeni ushauri,kuna kasenti nimekanyaka mahali nataka kununua gari lakini sina uzoefu wa hizi gari mbili; Subaru Forester turbo 2004 Vs Nissan Xtrail. Kipindi hiki gari...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Kwa miaka mingi nimetumia Toyota nilianza na Rav4, Passo, Raum, Noah, Spacio, Kisha nikarudia Noah ambayo niko nayo muda mrefu kuliko gari zote hizo tangu 2019. Natamani sasa kupata Gari nyingine...
4 Reactions
12 Replies
398 Views
Wakuu salama? Mfano mtu anataka ku experience the difference, ahame kutoka Toyota Rav 4/Harrier/Vanguard. Je kati ya hizi gari mbili ipi nzuri zaidi ama abakie tu kwa Toyota? Gari hizo ni...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za usiku wataalam Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni...
7 Reactions
71 Replies
8K Views
Back
Top Bottom