JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
---Nimesha tenda wema nimeumaliza, Kilicho baki sasa ni ubaya....... ( Saa nane usiku hiyo!) Bange, pombe zinawekwa kando, kila muhuni anamtupia jicho mnyonge wake, balaa tu.
9 Reactions
21 Replies
898 Views
You may think you are facing problem but the truth ia, you are the face of problems. People with personal face will understand it literally
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Wasalam wakuu. Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama.. I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje. Nimeshindwa hata...
38 Reactions
528 Replies
16K Views
Uongo upi unausikia mara kwa mara? au umesikia mwanamke au mwanaume anaambiwa au amekuambia. CC: uzuri_hatujuani Castle_Lite secretarybird 50thebe Poor Brain Khanji kapoor
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Wakuu, Kwanini unatumia mtandao wa simu Ulio nao sasa? Ni criteria zipi zilikufanya Uchague namba ya simu ya mtandao fulani kama namba yako kuu? Je incase ume attain Popularity una handle vipi...
3 Reactions
9 Replies
572 Views
Asalaam Wakuu,, moja kwa moja Uzi tayari Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli
0 Reactions
8 Replies
434 Views
Moja ya changamoto nillmezipitia ni kukaa na waswahili Nyumba za kupanga (Wanawake mbaya zaidi hawajasoma hawana Elimu . Kwanza wachafu Wambea Wanawivu Wana nguvu hasi (Negative energy) Kuhusu...
2 Reactions
7 Replies
424 Views
Karibuni tusheherekee pamoja siku hii muhimu kwangu wapendwa. Ninapokea zawadi kwa mikono miwili. Thank you 🫶🫶 😘😘 🥂🥂
17 Reactions
59 Replies
2K Views
Kuna jamaa hapa kijiweni kasema kama ulikuwa hauna unafuu kabla ya 2015, umebakia hivyo hivyo had hii sasa yan unaishi kwa mishe to mishe zisizoeleweka
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Salamu wanajukwaa. Popote ulipo Setfree unaombwa kurudi jukwaani ushushe elimu ya kiimani. Uwepo wako ndio mafanikio ya injili hapa JamiiAfrica. Wewe na mama mchungaji Donatila elimu yenu ni...
4 Reactions
26 Replies
949 Views
GT Watu wa Mkoa wa Mara na viunga vyake Mjiandae kwa ubwabwa, sato na sangara.
1 Reactions
6 Replies
413 Views
Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd. Cc: Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent...
22 Reactions
141 Replies
5K Views
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “mshangazi”. Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao...
11 Reactions
190 Replies
6K Views
Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha. Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano 👉I kwangu ni jamii...
41 Reactions
976 Replies
32K Views
Mfano wewe mwanamke ungezaliwa mwanamume Wewe mwanamume ungezaliwa mwanamke. Unahisi ungekuwa mtu wa namna gani?
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Hili tatizo la kukosa usingizi usiku kama hivi haswa nikiwa na bando kwenye simu, hivi ninalo mimi peke yangu au?
13 Reactions
249 Replies
7K Views
Hebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau? Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi. Karibuni!
7 Reactions
738 Replies
87K Views
  • Poll Poll
Ni kawaida sisi wanaime kufuatlia Ili kujua yaliyomo yamo. Shida ni matokeo yake
0 Reactions
2 Replies
305 Views
Kwema wakuu ? Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
😂
2 Reactions
1 Replies
182 Views
Back
Top Bottom