JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kitambi kikifikia level fulani nunua gari lako sio unakaa kwenye daladala kama una jiko la mkaa miguuni.
15 Reactions
17 Replies
846 Views
Nimezunguka baadhi ya mikoa Tanzania kama vile Dar, Iringa, Mbeya, Morogoro, Lindi ,Kilimanjaro na Pwani lakini kuna Nkoa unaitwa Ntwara daaaaa😃😃 Watu wa mkoa wa Ntwara ni wazuri sana mdomoni...
2 Reactions
1 Replies
363 Views
Unaruhusiwa kuandika chochote ila yasizidi maneno matatu JPM KIONGOZI BORA Haya twende kazi
7 Reactions
950 Replies
68K Views
Katika kufundisha umuhimu wakua na busara na hekima kama kijana, akasema “ hata uwe mtanashati au handsome kama kaka yangu pale, kama huna hekima na busara, bas ni kazi bure” Basi kabisa zima...
4 Reactions
40 Replies
1K Views
Bila kupepesa macho watu hao ni huyu jamaa anajiita Mume halali wa Ephen, mwingine ni huyu anajiita Mme Mwenza na watatu ni huyu secretarybird. Tajiri Sina BAYA nataka niwakunyuge kisawasawa...
13 Reactions
74 Replies
2K Views
Habari. Tukikupa YOUTONG ya siti 60. Zitabaki siti ngapi tukiwaweka ,wanawake uliowahi kutembea nao. Mimi zitabaki zile tano za nyuma. Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
11 Reactions
64 Replies
3K Views
Darasa lolote (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
 1. Mrembo wa darasa.
 2. Playboy/playgirl - Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
 3. Group ya marafiki watatu...
7 Reactions
19 Replies
45K Views
Najiuliza maswali mengi juu ya hawa bodaboda Boda Boda anaweza kumchukua Baba wa familia akampeleka kwenye mchepuko alafu Boda Boda huyo huyo akamchukua Mama mwenye nyumba akampeleka kwa kiben...
15 Reactions
40 Replies
5K Views
Unakuta mwanamke hata akivaa khanga moja tako hata halitikisiki. Sijui inasababishwa na nini ila mimi sipendi tako unakuta limeganda tuu kama la mwanaume. Pia hiki kimekua chanzo cha kuachana na...
6 Reactions
95 Replies
15K Views
Kumekua na mabishano mengi sana mitaani kuwa maisha bila ndoa ni mazuri zaidi ya maisha ya ndoa,kwamba ukiwa Bachela au Single lady unakua huru no stress unafanya mambo yako kwa amani sana...
0 Reactions
7 Replies
854 Views
Habari za ijumaa, Nasikia mida hii mods wamelala, kama hawajalala sio mbaya pia nina swali kwao "kuwa na ID zaidi ya moja ni kosa kwa sheria za JF?" Baada ya swali hilo nawakumbusha mods tupo...
2 Reactions
50 Replies
3K Views
Basii status zao zingekuwa kama hivi MENDE:- "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? " PANYA:- "Jana nimekula sharti la boss linanuka kikwapa ile...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Picha ya pili ni Watanzania tunajifanya kuwa hatujamsikia Samia akidai kuwa amekopa concessional loan ya miaka 20 kwa ajili ya kujenga madarasa, wakati tulishaambiwa kuwa Tozo ni kwa ajili ya...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Nadhani kama Siku ya Hukumuy Kwake Mungu Sebuleni Kwake Mbinguni Wanaume wote tutahukumiwa na hii Dhambi ya Kudanganya / Kuongopa. Huwa nikikaa Mwenyewe na Kujitafakari kwa aina ya Uwongo ambao...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, herini kwa sikukuu pendwa za mwisho wa mwaka. Tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2021 kwanza tumshukuru Mungu kwa zawadi ya huu mwaka na uhai hadi sasa tukiwa na imani ya...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Wanawake wafanye mazoezi and not otherwise, haya mavitambi hovyo kabisa, period!!!
5 Reactions
73 Replies
4K Views
Nimekuwa nikitafakari kwa kina juu ya neno “Tomboy.” Kwa kawaida, linamaanisha msichana ambaye ana tabia, mavazi, au mienendo inayohusishwa na wavulana. Lakini kila nikilitafakari, linazidi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii story bwana ilitokea miaka kadhaa wakati nasoma kidato cha pili hivi, Jirani na shule yetu kulikuwa na nyumba za wakazi wengine ambazo baadhi yake zilikuwa na vyoo/mabafu ya PASSPORT SIZE...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Huu sio uzi wa chuki wala kejeli, ni namna ya kutazama haya makundi mawili hapa jamiiforums ambayo, wao huwa wanaangalia kigezo cha dini tu, yani yuko radhi usiku aite mchana ili kutetea upande...
0 Reactions
1 Replies
246 Views
Kwanza pamoja na kuwalaani sana kwa kutuletea samaki wenye sumu'ndugu zanguni hasa wale walioleta nawashukuru amkuleta kitimoto maana madhara yake ni makubwa kuliko samaki hasa hasa mtawatesa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom