JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!? Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa...
21 Reactions
138 Replies
4K Views
Taja aina ya magari na jinsi utakavyoyatumia. Kwa mfano: 1. La kwendea kazini! 2. La kwendea sokoni! 3. La kuwapelekea watoto shule! 4. La safari za mbali! 5. N.k.
2 Reactions
11 Replies
533 Views
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana. Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye...
14 Reactions
157 Replies
4K Views
Uliwahi kufanya kituko gani ulipokunywa Pombe hutosahau? Niliwahi kunywa na kuanza kuropoka kuwa siwezi kusema siri zangu na hizo siri nikawa nazitaja😁😁 Cc: holoholo Nomadix
20 Reactions
149 Replies
5K Views
2 Reactions
2 Replies
201 Views
Communication/social network is power
0 Reactions
10 Replies
623 Views
Hebu tuambie ukweli ni nani akija nyumbani kwako bila kukupa taarifa hutakuwa na tatizo naye? Mimi kwangu itategemea na jambo lilikuleta ila kama unataka kuja kunisalimia tu nitashukuru sana...
11 Reactions
62 Replies
3K Views
Interesting...!:p Ni kitu gani ulikipata kutoka kwa Ex na umekaa nacho hadi sasa?
1 Reactions
6 Replies
294 Views
Interesting...!:p Ni kitu gani your Ex alichokupa na umekaa nacho hadi sasa?
0 Reactions
3 Replies
244 Views
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito. 1. Ana sumu inayoweza...
19 Reactions
207 Replies
11K Views
Mambozi Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja. Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe...
11 Reactions
100 Replies
36K Views
😁😁😃
5 Reactions
13 Replies
651 Views
Habarini wakuu, naamini tunaendelea vizuri katika harakati za kujenga taifa, niseme kazi iendelee. Baada ya kutimiza malengo yangu ya mwaka huu ndani ya robo tatu muhula wa mwaka (kuanzia mwezi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna siku nikiwa kwenye mishe zangu maeneo ya Ilala MTAA wa Arusha nilisikia sauti za watoto wakiiniita kando ya Barabara walikuwa kwenye UBA imepaki, walikuwa watoto wa kihindi, (Maisha safi)...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Kama unakumbuka majina au jina la gari ulipokuwa unaishi kuanzia miaka ya 1962-1990 tushirikishane hapa. Basi la abiria kati Tabora hadi Mwanza liliitwa "MABOYA" Watoto wa 2000 mkalale
1 Reactions
12 Replies
693 Views
Habari jamii Africa Gereza linatisha, Stori zake zinatisha, Matendo ya huko yanaogofya, Lakini ikiwa upo Duniani kaa ukijua muda na saa yoyote unaweza kuangukia huko. Najua wengi...
5 Reactions
21 Replies
831 Views
Muda hautoshi. Tuwapange kwa ugumu wa kuwatetea. Mimi nawapanga hivi; 1. Single mothers 2. Polisi 3. John Mrema & company 4. Wafuasi wa makanisa ya kiroho/kilokole 5. UVCCM 6. BAVICHA 7...
0 Reactions
14 Replies
665 Views
  • Closed
Mwamba hana tofauti na Deo Kisandu mwanajamvi ambaye alikuwa haishiwi Na vituko jamvini. Mufti kuku The Infinity Nyau de adriz
7 Reactions
122 Replies
4K Views
Basi bhana leo nimerudi nyumbani baada ya kupiga sana mzigo kwa mwezi mzima katika taasisi fulani. Kabla sijafika nyumbani nikaona sio mbaya kama nikipitia maeneo fulani kupata moja moto moja...
8 Reactions
9 Replies
707 Views
Wakuu, kama mada inavyojieleza hii chuma kwa sisi ngozi nyeus,i bila kuzivunja amri kumi za Mungu tutaendelea tu kuiona barabarani.#noreformnoelection🇹🇿🇹🇿
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom