Eh bana eh muhindi amekubali kutoa pesa jana, no risk no story. Japo si pesa mingi lakini inatosha kutumbua maisha na musichana moja ya kienyeji. Burudani tutalianza ijumaa jioni mpaka jumapili...
Bado unalalamika???au ushakubaliana na mpango wa kuja VETA
We njoo VETA ila jua kuwa
1.tunawahi namba,ukichelewa Kuna adhabu Kali sana sio poa
2.Hatutongozani,mambo ya maboyfriend na...
Ndugu zangu naandika huku natememeka, kulia nataka kucheka nataka yaani kiufupi sijielewi,
Nilikua nikisikia sana watu wakisema usiseme mipango yako, usiamini watu hata akiwa mzazi wako, watu...
Ukachukua namba ya bidada hlf usipige kinachofata hapo ni meseji za biti kali utasikia
"Usiponipigia leo nafuta hii namba yako mxxshnz@!#%£ wewe"
Ujakaa sawa unamsikia mwingine anasema
"sa we...
Sitasahau siku nimelala guest moja mitaa ya mwananyamala (ya bei rahisi) na mtoto mmoja mkali ila wa uswahilini ili kujilia tunda ile nimeingia naanza kuandaa mazingira kumbe kuna wajomba (wazee...
1. Uko unatembea zako au unafanya jogging ukapishana na mtu anafanya mazoezi ila hiyo harufu ya jasho inayotoka unayokutana nayo wakati mnapishana!...sijui kuna ambao hawafui nguo baada ya mazoezi...
Kwaio Dar hakuna pisi Kali🧐🧐🧐
Hii ni wiki ya pili sasa nipo hapa jijinina sijaona uhalisia WA dar wanayoisimuliaga kwenye stori🤣🤣
Nyie pisi Kali za dar mpo wapi??🧐🧐
Wiki inakata wakuu bila hata...
Kutokana na hali ya kiuchumi kunigonga, nimejikuta nawaza namna ya kuzigeuza hizi 'likes' nilizonazo humu jf ziwe pesa.
Nitumie njia gani ili nizigeuze kuwa hela wakuu?
Kama haziwezi kugeuka...
Sisi kama binadamu kuna vitu vingi tunapitia nakuwa na uzoefu katika vitu hivyo!, Navyo hutupelekea kubadilisha njia ama mtazamo juu ya kitu fulani je, wewe ni vitu gani hivyo vilikufanya ubadili...
Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi...
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali.
Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja Tosamaganga au Galanosi, ukimkopesa pesa ndio...
Maisha Yana story ndefu,
Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia.
Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.