JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Eh bana eh muhindi amekubali kutoa pesa jana, no risk no story. Japo si pesa mingi lakini inatosha kutumbua maisha na musichana moja ya kienyeji. Burudani tutalianza ijumaa jioni mpaka jumapili...
2 Reactions
17 Replies
676 Views
Bado unalalamika???au ushakubaliana na mpango wa kuja VETA We njoo VETA ila jua kuwa 1.tunawahi namba,ukichelewa Kuna adhabu Kali sana sio poa 2.Hatutongozani,mambo ya maboyfriend na...
10 Reactions
65 Replies
2K Views
Ndugu zangu naandika huku natememeka, kulia nataka kucheka nataka yaani kiufupi sijielewi, Nilikua nikisikia sana watu wakisema usiseme mipango yako, usiamini watu hata akiwa mzazi wako, watu...
33 Reactions
68 Replies
3K Views
Ukachukua namba ya bidada hlf usipige kinachofata hapo ni meseji za biti kali utasikia "Usiponipigia leo nafuta hii namba yako mxxshnz@!#%£ wewe" Ujakaa sawa unamsikia mwingine anasema "sa we...
11 Reactions
79 Replies
3K Views
Uwongo wa wanasiasa hata mtoto mchanga anaujua Nitajieni uwongo wa shetani Eid Mubarak 🙏😁
1 Reactions
7 Replies
325 Views
Madame B,ErickB52....
2 Reactions
112 Replies
8K Views
Plani zangu izo apo,Vipi kuhusu nyie wakuu
1 Reactions
2 Replies
247 Views
Sitasahau siku nimelala guest moja mitaa ya mwananyamala (ya bei rahisi) na mtoto mmoja mkali ila wa uswahilini ili kujilia tunda ile nimeingia naanza kuandaa mazingira kumbe kuna wajomba (wazee...
18 Reactions
642 Replies
118K Views
Mliowah kula wazungu bila Shaka mtaniunga mkono katka Hil Wazungu wanajua Mambo,yaan mpaka unavutiwa na unalizka kabsa kingono Mim Nmebahatka kula mzungu bonge hiv,yaan anajua kumbembeleza we...
4 Reactions
64 Replies
10K Views
1. Uko unatembea zako au unafanya jogging ukapishana na mtu anafanya mazoezi ila hiyo harufu ya jasho inayotoka unayokutana nayo wakati mnapishana!...sijui kuna ambao hawafui nguo baada ya mazoezi...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwaio Dar hakuna pisi Kali🧐🧐🧐 Hii ni wiki ya pili sasa nipo hapa jijinina sijaona uhalisia WA dar wanayoisimuliaga kwenye stori🤣🤣 Nyie pisi Kali za dar mpo wapi??🧐🧐 Wiki inakata wakuu bila hata...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Kutokana na hali ya kiuchumi kunigonga, nimejikuta nawaza namna ya kuzigeuza hizi 'likes' nilizonazo humu jf ziwe pesa. Nitumie njia gani ili nizigeuze kuwa hela wakuu? Kama haziwezi kugeuka...
5 Reactions
26 Replies
718 Views
Sisi kama binadamu kuna vitu vingi tunapitia nakuwa na uzoefu katika vitu hivyo!, Navyo hutupelekea kubadilisha njia ama mtazamo juu ya kitu fulani je, wewe ni vitu gani hivyo vilikufanya ubadili...
8 Reactions
21 Replies
921 Views
Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae. Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea. Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka. Natangaza rasmi...
35 Reactions
105 Replies
3K Views
Katika maisha nilikutana na bek3 wengi niliokula na sasa na umri huu yananitokea haya
1 Reactions
8 Replies
515 Views
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali. Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja Tosamaganga au Galanosi, ukimkopesa pesa ndio...
25 Reactions
105 Replies
5K Views
Maisha Yana story ndefu, Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia. Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me...
12 Reactions
104 Replies
14K Views
Akirudi Tutamsema.....
2 Reactions
4 Replies
362 Views
---Nimesha tenda wema nimeumaliza, Kilicho baki sasa ni ubaya....... ( Saa nane usiku hiyo!) Bange, pombe zinawekwa kando, kila muhuni anamtupia jicho mnyonge wake, balaa tu.
9 Reactions
21 Replies
898 Views
Back
Top Bottom