EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Hii story bwana ilitokea miaka kadhaa wakati nasoma kidato cha pili hivi,
Jirani na shule yetu kulikuwa na nyumba za wakazi wengine ambazo baadhi yake zilikuwa na vyoo/mabafu ya PASSPORT SIZE. Sasa siku moja mida ya saa tano hivi kuna mdada mmoja akawa kaingia kuoga, kawaida katika shule nyingi huwa kuna wale wanafunzi watukutu ambao siku za kuingia darasani ni chache kulinganisha na siku za kudodge.
Sasa kumbe bwana wamemuona yule mdada anavyoingia, wakamvizia ile kapaka sabuni usoni tu wakamuingilia humo bafuni kwake (anadai alibakwa na watu kadhaa, hakutaja idadi) basi akaja kutoa taarifa shuleni tena baada tu ya tukio tena akiwa kavaa khanga tu kuonyesha msisitizo (evidence kwamba alikuwa anaoga)
Kengele ikagongwa tukaamuriwa wote tukakusanyika kwenye school assembly, yule mama akaanza kupita kwenye mistari na kila anayemgusa anaamuriwa kwenda mbele. baada ya kumaliza mzunguko wake watu zaidi ya 200 wakawa wako mbele. Sasa nikashtuka kidogo, nini kimetokea mshtuko ambao hata walimu niliwaona wanao, muda wote huo hakukuwa kumesemwa sababu hasa ya dharura hiyo ndio tukaambiwa sasa baada ya kuona idadi ya watu waliotolewa mbele imekuwa kubwa sana. Headmaster akasimama akatupa kisa;
"Jamani tumekusanyika hapa kwa dharura kwasababu huyu mama anadai ameingiliwa akiwa anaoga na wanafunzi wenzetu, sasa kwasababu walimvizia akiwa amepaka sababu machoni hakuweza kuwaona ila wakati anafurukuta aliweza kuwagusa vichwani na akagundua kuwa walikuwa na vipara ndio maana hawa watu wote walioitwa hapa mbele ni wale walioonekana kuwa na vipara"
Sasa baada ya headmaster kuona kesi imekuwa ngumu ikabidi amuahidi yule mama kwamba atashughulikia hilo na atampa taarifa itakapofikia. Sasa wakati huo ilikuwa ni fashion kunyoa kipara kwahiyo wanafunzi wengi walikuwa na vipara, je yule mama alibakwa na watu wangapi ukizingatia zaidi ya watu 200 waliitwa pale mbele.
Nimeona nishee na wadau stori hii maana nimeikumbuka leo nikacheka sana.
Jirani na shule yetu kulikuwa na nyumba za wakazi wengine ambazo baadhi yake zilikuwa na vyoo/mabafu ya PASSPORT SIZE. Sasa siku moja mida ya saa tano hivi kuna mdada mmoja akawa kaingia kuoga, kawaida katika shule nyingi huwa kuna wale wanafunzi watukutu ambao siku za kuingia darasani ni chache kulinganisha na siku za kudodge.
Sasa kumbe bwana wamemuona yule mdada anavyoingia, wakamvizia ile kapaka sabuni usoni tu wakamuingilia humo bafuni kwake (anadai alibakwa na watu kadhaa, hakutaja idadi) basi akaja kutoa taarifa shuleni tena baada tu ya tukio tena akiwa kavaa khanga tu kuonyesha msisitizo (evidence kwamba alikuwa anaoga)
Kengele ikagongwa tukaamuriwa wote tukakusanyika kwenye school assembly, yule mama akaanza kupita kwenye mistari na kila anayemgusa anaamuriwa kwenda mbele. baada ya kumaliza mzunguko wake watu zaidi ya 200 wakawa wako mbele. Sasa nikashtuka kidogo, nini kimetokea mshtuko ambao hata walimu niliwaona wanao, muda wote huo hakukuwa kumesemwa sababu hasa ya dharura hiyo ndio tukaambiwa sasa baada ya kuona idadi ya watu waliotolewa mbele imekuwa kubwa sana. Headmaster akasimama akatupa kisa;
"Jamani tumekusanyika hapa kwa dharura kwasababu huyu mama anadai ameingiliwa akiwa anaoga na wanafunzi wenzetu, sasa kwasababu walimvizia akiwa amepaka sababu machoni hakuweza kuwaona ila wakati anafurukuta aliweza kuwagusa vichwani na akagundua kuwa walikuwa na vipara ndio maana hawa watu wote walioitwa hapa mbele ni wale walioonekana kuwa na vipara"
Sasa baada ya headmaster kuona kesi imekuwa ngumu ikabidi amuahidi yule mama kwamba atashughulikia hilo na atampa taarifa itakapofikia. Sasa wakati huo ilikuwa ni fashion kunyoa kipara kwahiyo wanafunzi wengi walikuwa na vipara, je yule mama alibakwa na watu wangapi ukizingatia zaidi ya watu 200 waliitwa pale mbele.
Nimeona nishee na wadau stori hii maana nimeikumbuka leo nikacheka sana.