Kabakwa na mtu mwenye kipara...!

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Hii story bwana ilitokea miaka kadhaa wakati nasoma kidato cha pili hivi,

Jirani na shule yetu kulikuwa na nyumba za wakazi wengine ambazo baadhi yake zilikuwa na vyoo/mabafu ya PASSPORT SIZE. Sasa siku moja mida ya saa tano hivi kuna mdada mmoja akawa kaingia kuoga, kawaida katika shule nyingi huwa kuna wale wanafunzi watukutu ambao siku za kuingia darasani ni chache kulinganisha na siku za kudodge.

Sasa kumbe bwana wamemuona yule mdada anavyoingia, wakamvizia ile kapaka sabuni usoni tu wakamuingilia humo bafuni kwake (anadai alibakwa na watu kadhaa, hakutaja idadi) basi akaja kutoa taarifa shuleni tena baada tu ya tukio tena akiwa kavaa khanga tu kuonyesha msisitizo (evidence kwamba alikuwa anaoga)

Kengele ikagongwa tukaamuriwa wote tukakusanyika kwenye school assembly, yule mama akaanza kupita kwenye mistari na kila anayemgusa anaamuriwa kwenda mbele. baada ya kumaliza mzunguko wake watu zaidi ya 200 wakawa wako mbele. Sasa nikashtuka kidogo, nini kimetokea mshtuko ambao hata walimu niliwaona wanao, muda wote huo hakukuwa kumesemwa sababu hasa ya dharura hiyo ndio tukaambiwa sasa baada ya kuona idadi ya watu waliotolewa mbele imekuwa kubwa sana. Headmaster akasimama akatupa kisa;

"Jamani tumekusanyika hapa kwa dharura kwasababu huyu mama anadai ameingiliwa akiwa anaoga na wanafunzi wenzetu, sasa kwasababu walimvizia akiwa amepaka sababu machoni hakuweza kuwaona ila wakati anafurukuta aliweza kuwagusa vichwani na akagundua kuwa walikuwa na vipara ndio maana hawa watu wote walioitwa hapa mbele ni wale walioonekana kuwa na vipara"

Sasa baada ya headmaster kuona kesi imekuwa ngumu ikabidi amuahidi yule mama kwamba atashughulikia hilo na atampa taarifa itakapofikia. Sasa wakati huo ilikuwa ni fashion kunyoa kipara kwahiyo wanafunzi wengi walikuwa na vipara, je yule mama alibakwa na watu wangapi ukizingatia zaidi ya watu 200 waliitwa pale mbele.

Nimeona nishee na wadau stori hii maana nimeikumbuka leo nikacheka sana.
 
Duh, sina uhakika kama wanafunzi huwa wanakua maana sehemu zote hufanya mambo ya kitoto tu.
 
UMECHEKA NINI KATI YA HAYA YAFUATAYO TOKA KWENYE STORY YAKO
1- MABAFU YA PASIPOTI SIZE?
2- MAMA KUBAKWA?
3- KUITWA PARADE KWA DHARURA?
4- KUTOJUA DHARURA MULOITIWA PARADE?
5- HEADMASTER KUWAJUZA KUWA MAMA ANADAI AMEBAKWA NA WANAFUNZI WENZENU?
6- MAMA KUDAI KUWA ALIKUWA KAPAKA SABUNI USONI KWA HIYO HAKUWAONA KWA SURA WALIOMBAKA?
7- MAMA KUSEMA KUWA ALIWAJUA KWA VIPARA WALIVYOKUWA WAMENYOA?
8- WATU 200 NKUWA WAMENJOA VIPARA?
9- MAMA KUBAKWA NA WATU 200 WALIONYOA VIPARA UKIWAMO WEWE AMBAYE HUKUMBAKA?
10- MAMA KUWA MJINGA KIASI KWAMBA ALIKUBALI KUWATAMBUA KWA VIPARA NA SIO WALIOKUWA NA MB@#$OO MBICHI MAANA WALIKUWA WAMEGONGA KAVUKAVU KWA HIYO ILIKUWA NI RAHISI KUWAKAMATA WOOOTE KWA KIGEZO HICHO?....

NI MAONI YANGU TUU ILA NAAMINI
​kigezo cha kipara/vipara hakikuwa sahihi...au mama alimaanaisha waliombaka walikuwa vipara chini ma sio kichwa cha juu???
 
UMECHEKA NINI KATI YA HAYA YAFUATAYO TOKA KWENYE STORY YAKO
1- MABAFU YA PASIPOTI SIZE?
2- MAMA KUBAKWA?
3- KUITWA PARADE KWA DHARURA?
4- KUTOJUA DHARURA MULOITIWA PARADE?
5- HEADMASTER KUWAJUZA KUWA MAMA ANADAI AMEBAKWA NA WANAFUNZI WENZENU?
6- MAMA KUDAI KUWA ALIKUWA KAPAKA SABUNI USONI KWA HIYO HAKUWAONA KWA SURA WALIOMBAKA?
7- MAMA KUSEMA KUWA ALIWAJUA KWA VIPARA WALIVYOKUWA WAMENYOA?
8- WATU 200 NKUWA WAMENJOA VIPARA?
9- MAMA KUBAKWA NA WATU 200 WALIONYOA VIPARA UKIWAMO WEWE AMBAYE HUKUMBAKA?
10- MAMA KUWA MJINGA KIASI KWAMBA ALIKUBALI KUWATAMBUA KWA VIPARA NA SIO WALIOKUWA NA MB@#$OO MBICHI MAANA WALIKUWA WAMEGONGA KAVUKAVU KWA HIYO ILIKUWA NI RAHISI KUWAKAMATA WOOOTE KWA KIGEZO HICHO?....

NI MAONI YANGU TUU ILA NAAMINI
​kigezo cha kipara/vipara hakikuwa sahihi...au mama alimaanaisha waliombaka walikuwa vipara chini ma sio kichwa cha juu???
Mama kuja na hoja moja ya utambuzi (Vipara vya kichwani) hivyo kujikuta na idadi ya watu 200 alipoulizwa ni hawa wote wamekubaka? akashindwa kujibu
Huwa nasikia watu wanaobakwa na idadi ya watu wanaozidi 3 huwa na hali mbaya kiasi cha kushindwa kusimama, lakini huyu alikuja akiwa anatembea kama askari wa mwanvuli
Bahati mbaya huwa sinyoi kipara maana nina kichwa kibaya
 
Mama kuja na hoja moja ya utambuzi (Vipara vya kichwani) hivyo kujikuta na idadi ya watu 200 alipoulizwa ni hawa wote wamekubaka? akashindwa kujibu
Huwa nasikia watu wanaobakwa na idadi ya watu wanaozidi 3 huwa na hali mbaya kiasi cha kushindwa kusimama, lakini huyu alikuja akiwa anatembea kama askari wa mwanvuli
Bahati mbaya huwa sinyoi kipara maana nina kichwa kibaya

Na inawezekana alichokuwa anashika ni kipara cha chini akajua ni cha kichwani
 
haiwezekani akandamizwe
Alafu asifumbue macho,
Yani afumbe macho mwanzo mwisho?
We unaleta za Kwenye Kahawa.
 
haiwezekani akandamizwe
Alafu asifumbue macho,
Yani afumbe macho mwanzo mwisho?
We unaleta za Kwenye Kahawa.

Mkuu umeona eehhh
yaani muda wote mama anabakwa amefunga tuu macho
Alifumba macho kusikilizia utamu na then akawa anawapapasa vichhwa waliokuwa wanambaka
 
Na inawezekana alichokuwa anashika ni kipara cha chini akajua ni cha kichwani


Aluu. Yaani wewe ndo umemuelewa huyu msimulilaji wa hii hadithi... Halafu hajatuambia yeye alikuwa kwenye kundi gani.
 
haiwezekani akandamizwe
Alafu asifumbue macho,
Yani afumbe macho mwanzo mwisho?
We unaleta za Kwenye Kahawa.
Kaka hii sio ya kwenye kahawa ni live na ndipo kesi ilipoishia hapo maana kila mtu alibaki na mialama kibao ya kuuliza kuliko majibu
 


Aluu. Yaani wewe ndo umemuelewa huyu msimulilaji wa hii hadithi... Halafu hajatuambia yeye alikuwa kwenye kundi gani.

nafikiri yeye alikuwa anakula chabo ndo maana hakuwemo kwenye kundi maana anasema yeye huwa hanyoi kipara (mhhh hana kipara sijui tuiweke hivi)
 
Hahahahaaa mi nilikuwa kidato cha pili sonilikuwa katoto sana bado, halafu (kipara cha kichwani) sikuwa nacho maana sheria za shule hazikuwa zinaruhusu though kama kawa wanafunzi huwa wanavunja sheria makusudi. Yule mama bwana hata mi nilimshtukia maana inaonyesha alienjoy sana shughuli nzima maana mtu aliyeumia anaonekana usoni
 
Hahahahaaa mi nilikuwa kidato cha pili sonilikuwa katoto sana bado, halafu (kipara cha kichwani) sikuwa nacho maana sheria za shule hazikuwa zinaruhusu though kama kawa wanafunzi huwa wanavunja sheria makusudi. Yule mama bwana hata mi nilimshtukia maana inaonyesha alienjoy sana shughuli nzima maana mtu aliyeumia anaonekana usoni


Kidato cha pili na bado unasema wewe katoto
Duh mkuu unaonekana ulichelewa sana kuingia kwenye haya mambo
 
Kidato cha pili na bado unasema wewe katoto
Duh mkuu unaonekana ulichelewa sana kuingia kwenye haya mambo
Kaka nimemaliza darasa la 7 nikiwa 13 so wakati niko kidato cha pili i was 15, kiukweli i was so young to be there.........
 
Kaka hii sio ya kwenye kahawa ni live na ndipo kesi ilipoishia hapo maana kila mtu alibaki na mialama kibao ya kuuliza kuliko majibu
<br />
<br />
Mwana taja shule uliyokua unasoma,
Mana waliosoma shule unayosema wamo humu,
Wataungana na wewe,na kama sivyo Itaondolewa humu,kama bajeti ya taa na tv,yani nishat na madin
 
UMECHEKA NINI KATI YA HAYA YAFUATAYO TOKA KWENYE STORY YAKO<br />
1- MABAFU YA PASIPOTI SIZE?<br />
2- MAMA KUBAKWA?<br />
3- KUITWA PARADE KWA DHARURA?<br />
4- KUTOJUA DHARURA MULOITIWA PARADE?<br />
5- HEADMASTER KUWAJUZA KUWA MAMA ANADAI AMEBAKWA NA WANAFUNZI WENZENU?<br />
6- MAMA KUDAI KUWA ALIKUWA KAPAKA SABUNI USONI KWA HIYO HAKUWAONA KWA SURA WALIOMBAKA?<br />
7- MAMA KUSEMA KUWA ALIWAJUA KWA VIPARA WALIVYOKUWA WAMENYOA?<br />
8- WATU 200 NKUWA WAMENJOA VIPARA?<br />
9- MAMA KUBAKWA NA WATU 200 WALIONYOA VIPARA UKIWAMO WEWE AMBAYE HUKUMBAKA?<br />
<b>10- MAMA KUWA MJINGA KIASI KWAMBA ALIKUBALI KUWATAMBUA KWA VIPARA NA SIO WALIOKUWA NA MB@#$OO MBICHI MAANA WALIKUWA WAMEGONGA KAVUKAVU KWA HIYO ILIKUWA NI RAHISI KUWAKAMATA WOOOTE KWA KIGEZO HICHO?....<br />
<br />
NI MAONI YANGU TUU ILA NAAMINI </b>&#8203;kigezo cha kipara/vipara hakikuwa sahihi...au mama alimaanaisha waliombaka walikuwa vipara chini ma sio kichwa cha juu???
<br />
<br />
katika hayo yote uliyoorodhesha we kipi kitakufurahisha?
 
Kaka nimemaliza darasa la 7 nikiwa 13 so wakati niko kidato cha pili i was 15, kiukweli i was so young to be there.........

mkuu 15 years bado unajiona mfogo wakati watu wameanza na 12
So kweli ulikuwa mdogo mkuu hukushiriki
 
Back
Top Bottom