Nina siku kadhaa hapa Moro ,si mwenyeji saaana,naomba wenyeji wanielekeze sehemu ya kutoka out na kutuliza mawazo ili kesho niwe na ari ya kupokea form za maombi ya sensa na kuzisaini pale ofisini...
Kuna muda unakuta Dukani amenunua kitu alafu muuzaji anajisahau anakuongezea chenchi pasipo yeye kujua
Je ghafla ghafla tu umepokea chenchi umeona umeongezewa alf muuzaji yupo busy
Utafanyaje ...
kuna binti nimemsaundisha jana,akanigea namba yake ya whatsaap,leo tumeanza kuchat whatsaap ghafla bin vuu ananiomba vocha,nikamtumia ya book,hii jioni nakuta anasema kama nna elfu tano nimuazime...
Jambo la kufahamu sijisifu wala sina nia ya kudharau watu wengine hapana bali naongea ukweli
Wako walionizidi kwenye historia na wako watakaonizidi baada ya miaka 100 kupita
Wale ambao tutafika mbinguni tukiwa tumechoka tukutane hapa
1. Kumnyandua mke wa mjomba tumbo moja na mama,staisahau hii dhambi, Mjomba aliniomba nimpe kampani mke wake wakati akiwa amesafiri...
Habari wana JF,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kautafiti kangu kasiko rasmi hasa nikiwa kwenye daladala au kagari kangu ka bei mbaya, nimeshuhudia wengi wa wadada /wamama (sio wote...
Jamani ndugu zetu Wachagga wana majina yaliyo enda shule, na ili uyaelewe shurti uwe msomi.
1. Beautiful Flower Shayo
2. Godlisten Shirima
3. Jesus is God Massawe......
Hebu na wewe tupia jina...
Miezi 9 tumboni mwa mama , saa 12 za uchungu, kukosa usingizi usiku zaidi ya mara 100, kuongezeka zaidi ya kilo 10 , afuuuu anafanana na baba yake.Mungu aendelee kuwa upande wenu wanawake.. 🙏...
Je wajua kuwa Wajapan ndio wanashika nafasi ya kwanza duniani kwa kunya kinyesi kidogo sababu hula kidogo sana kuliko watu wengine duniani wa mataifa mengine?
Kama una nyumba pangisha wajapan...
Mchungaji alikuwa anawafundisha vijana somo la upendo na kusisitiza "PENDANENI KAMA MUNGU ANAVYOTUPENDA". Baada ya mwezi mmoja, kijana mmoja akamwendea Mchungaji na kumwambia, "MCHUNGAJI, SOMO...
Wakuu haya si maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa mtu wangu mmoja ninayemwamini sana kwa kunipa uzoefu na nasaa juu ya mambo mbalimbali ya kimaisha.
Kwangu ilikuwa moja ya siku nzito sana na picha lilianzia palepale showroom ile nimekabiziwa tu mkoko.
Nlikuwa sijui kuendesha lakini nling'ang'ana niendeshe mwenyewe nkakoswakoswa na daladala...
Ndugungu zangu katika imani!
1. Siku hizi nikiona mtu anaongelea usimba na uyanga namwona punguani.
2. Nikimwona mtu wangu wa karibu anaisifu Korea kaskazini kama nchi hatari duniani namwona...
Hivi huwa mna matatizo gani?
Hili haliusiani na siasa tafadhali sana.
Hapa ilipoandikwa tuende hapo.
Wewe binti leo umekua vimaziwa hivyo
Mabazazi wananyonya.
Wewe binti umezaliwa baba yuko wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.