BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,669
Basii status zao zingekuwa kama hivi
MENDE:- "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "
PANYA:- "Jana nimekula sharti la boss linanuka kikwapa ile mbaya na leo nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"
NGURUWE:- Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "
MBU:- Sijui nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.
MBUZI:- Tehe tehe tehe. thanks God pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka christmas.
KUKU:- "Friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all".
Cc:Not nonsence it's just for fun
Enjoy!!
MENDE:- "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "
PANYA:- "Jana nimekula sharti la boss linanuka kikwapa ile mbaya na leo nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"
NGURUWE:- Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "
MBU:- Sijui nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.
MBUZI:- Tehe tehe tehe. thanks God pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka christmas.
KUKU:- "Friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all".
Cc:Not nonsence it's just for fun
Enjoy!!