Wanyama & wadudu wangekuwa wanatumia whatsapp

BoManganese

JF-Expert Member
Jun 10, 2017
979
2,669
Basii status zao zingekuwa kama hivi


MENDE:- "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "

PANYA:- "Jana nimekula sharti la boss linanuka kikwapa ile mbaya na leo nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"

NGURUWE:- Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "

MBU:- Sijui nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.

MBUZI:- Tehe tehe tehe. thanks God pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka christmas.

KUKU:- "Friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all".


Cc:Not nonsence it's just for fun
Enjoy!!
 
Ahahaaaaaah, na fahari angesikika,
Daaaah sijui kesho wamepanga kunilimisha ekari ngapi, binadam wababe sana hata hawanishirikishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom