Hamjambo?
Mwaka 2011 na 2012 nilikuwa naishi maeneo ya mgodi tz hii hii. Sa tukawa tunaenda kuokota yale wawe yanayomwagwa sehemu na unakuta yana dhahabu hata ya kuuza had m30.
Sku moja tukaenda tukiwa squad ya mtu 3 nikapata jiwe sa kwa kuwa nilikuwa mgeni ikabid niwashirikishe wale wenyeji wawili. Tukaenda tukalitunza kwa mmoja wao ili asubuhi tuuze lakini baada ya mimi kuondoka wakaita mteja usiku huo huo na wakaliuza m15. Asubuhi nakutana na m1 wakisema waliuza m3. Nikasema poa nikaenda zangu lakin moyoni ni siri yangu. After hapo mmoja akamwambia mwenzake waende mwanza kununua pkpk mpya na kweli wakaenda wakanunua wakaja nazo. Siku ya pilg mmoja akaanguka na hiyo pkpk akafa ku hadi wa leo ni r.i.p. Tukishughulika na msiba mwenzake anakuja msibani akaanguka yeye meno yote 12 hana hadi wale kawa kibogoyo kama sio kibo gold. Sasa mzee mmoja akamwita huyo alobaki akamuuliza kama kuna mtu wamezulumu jiwe waseme mapema wasaidike lakini jamaa akakataa kata kata. Bahati nzuri mungu saidia ==> kwa coment...
Mwaka 2011 na 2012 nilikuwa naishi maeneo ya mgodi tz hii hii. Sa tukawa tunaenda kuokota yale wawe yanayomwagwa sehemu na unakuta yana dhahabu hata ya kuuza had m30.
Sku moja tukaenda tukiwa squad ya mtu 3 nikapata jiwe sa kwa kuwa nilikuwa mgeni ikabid niwashirikishe wale wenyeji wawili. Tukaenda tukalitunza kwa mmoja wao ili asubuhi tuuze lakini baada ya mimi kuondoka wakaita mteja usiku huo huo na wakaliuza m15. Asubuhi nakutana na m1 wakisema waliuza m3. Nikasema poa nikaenda zangu lakin moyoni ni siri yangu. After hapo mmoja akamwambia mwenzake waende mwanza kununua pkpk mpya na kweli wakaenda wakanunua wakaja nazo. Siku ya pilg mmoja akaanguka na hiyo pkpk akafa ku hadi wa leo ni r.i.p. Tukishughulika na msiba mwenzake anakuja msibani akaanguka yeye meno yote 12 hana hadi wale kawa kibogoyo kama sio kibo gold. Sasa mzee mmoja akamwita huyo alobaki akamuuliza kama kuna mtu wamezulumu jiwe waseme mapema wasaidike lakini jamaa akakataa kata kata. Bahati nzuri mungu saidia ==> kwa coment...