Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,967
- 57,457
Kila mmoja anapenda kuwa tajiri, na hii inatokana na faida nyingi uzipatazo pale unapokuwa tajiri. Na unapozungumzia utajiri, unazungumzia kumiliki rasilimali fedha, watu, majengo, mashamba, mifugo n.k
Utajiri hupatikana kwa kufanya vitendo na si kwa kuongea tu. Wengi tunaongea ongea tu, ndio maana hatutajiriki.
Utajiri ni matokeo ya ‘kitendo fulani’ kufanyika, hicho kitendo kinaweza kuwa; ubunifu wa bidhaa, ubunifu wa soko, utapeli, rushwa, wizi wa kimazingara, biashara isiyo sahihi (haramu), unafiki, uongo n.k
Ili wewe uwe tajiri inakubidi ufanye ‘kitendo fulani’, na hicho kitendo fulani ndio kitakachokuingizia fedha wewe.
Aya, kazi kwenu matajiri watarajiwa; tafuta hicho ‘kitendo fulani’
Utajiri ni matokeo ya ‘kitendo fulani’ kufanyika, hicho kitendo kinaweza kuwa; ubunifu wa bidhaa, ubunifu wa soko, utapeli, rushwa, wizi wa kimazingara, biashara isiyo sahihi (haramu), unafiki, uongo n.k
Ili wewe uwe tajiri inakubidi ufanye ‘kitendo fulani’, na hicho kitendo fulani ndio kitakachokuingizia fedha wewe.
Aya, kazi kwenu matajiri watarajiwa; tafuta hicho ‘kitendo fulani’