bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,629
- 2,044
Juzi kati nimepiga kapicha flani apo amaizing ila kamenishtua kidogoo mazeee, nina miaka 30 ilaa daah... Nifanyejeee nirudi ujananii?
Hivi Osama bin laden alikamatwa kweli kaka au bado yupo ?Juzi kati nimepiga kapicha flani apo amaizing ila kamenishtua kidogoo mazeee, nina miaka 30 ilaa daah... Nifanyejeee nirudi ujananii? View attachment 3589572
Haya makuku ya kisasa mnayo fakamia kama hamna akili nzuri hayawezi kuwaacha salama.Hiyo kitu mimi huwa inanifikirisha Sana, Yani wanaume wengi ukiwaangalia wanaonekana wako chini ya miaka 40 lakini ndevu zao zina mvi
Mimi niko 32 kuna kimvi kimoja icho kidevuni kila nikikichomoa kinatoka tena
Ndevu zenye mvi ndio mpango mzima kikubwa ziweke smart,shave vizuri wee unakuwa sexy kinoma...ila zisiwe kama za mleta uzi tafadhaliHiyo kitu mimi huwa inanifikirisha Sana, Yani wanaume wengi ukiwaangalia wanaonekana wako chini ya miaka 40 lakini ndevu zao zina mvi
Mimi niko 32 kuna kimvi kimoja icho kidevuni kila nikikichomoa kinatoka tena
Mi mwenyewe ninazo kama 3 ilianza moja tu.Hiyo kitu mimi huwa inanifikirisha Sana, Yani wanaume wengi ukiwaangalia wanaonekana wako chini ya miaka 40 lakini ndevu zao zina mvi
Mimi niko 32 kuna kimvi kimoja icho kidevuni kila nikikichomoa kinatoka tena
😄😄😄😄Unategemea nini, mtu mwenyewe umevaa kama enzi vita vya kagera ?
Pia ndevu kama hazina matunzo ni uchafu
Nyoa/shave vizuri.... pangilia mavazi.... kulingana na eneo unaloenda... mfano ibadan unavaaje, offcn na mtaani ! Vaa smart au casual kulingana na mazingira
Mimi ninazo nyingi Mzee zinazingua kinyama 🤣Mi mwenyewe ninazo kama 3 ilianza moja tu.
Kwani unafanya kazi gani? Una mke au mtoto/watoto? Una nyumba au una maisha gani?Juzi kati nimepiga kapicha flani apo amaizing ila kamenishtua kidogoo mazeee, nina miaka 30 ilaa daah... Nifanyejeee nirudi ujananii? View attachment 3589572
Mwezako napenda kuvaa nguo zinazoniweka uzeeni.Zingatia na nguo unazovaa zinaweza chochea kuzeeka haraka
Cha ajabu eti ni kidevuni tu,kichwani hamna😀Mimi ninazo nyingi Mzee zinazingua kinyama 🤣