JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Heshima zenu wakuu, Nimekua nikifuatilia sana habari za babu yetu wa loliondo kwa karibu sana na nimejifunza mambo meengi sana baada ya babu yetu huyu kupewa 'maono' na kikombe cha 'uponyaji'. Mim...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu mpendwa ukiwa mmoja wa wapendwa wanaoamini dawa kutoka kwa Mungu ya bwana Ambilikile tumeona mpaka sasa serikali aijaonyesha uwezo wake halisi kumsaidia babu huyu ikiwemo kusaidia miundo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
:cool2: nawapenda wote humu ndani :cool2:
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Natafuta Rafiki wa kudumu. Awe na sifa hizi: 1.Mpole na mwenye hekima 2.Mcha mungu 3.Mrefu, mrembo na mtulivu 4.Afahamu vyema uhalisi wa maisha ya kitanzania 5.Awe na kazi,na elimu...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
It really amazes me how the whole nation can be fooled to believe that there is a cup that can cure several stubborn diseases (AIDS, diabetes, Pressure, etc) just by drinking it. Fellow Tanzanians...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Sinaraha kutokuwepo kwako amani sina moyoni. jameni faraja imepotea umepatwa nini ewe Michelle wetu janvini kupotea Japo Lizzy LD na Afrodenz. (Dena amsi punguza mchunguzi wewe). Finest. Uporoto...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Ati ukikuta wenzio wako foleni ukajifanya mbinafsi na kuwavuka, hata ukilamba kile ki-cup hauponi ng'oo!! ahh Babuuuuuuuuuuuu!! kweli wajinga ndio waliwao.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MTOTO; Baba niletee glass1 ya maji ya kunywa, BABA; pumbavu unawazimu? Hebu njo ufate mwenyewe. MTOTO; Niletee bwana. BABA; Nitakuja hapo nikuchape vibao oooho! MTOTO; Basi ukiwa unakuja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekumbuka Hii MSN group ya kwanza kwanza kabisa kwa hapa Tanzania ambayo ilivuma sana kwenye miaka ya 2003/2005, hii Group ilisababisha watu wengi kuvujiana heshima baada ya kujafahamiana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwakyembe anatafuta Pepo chafu la kumdhuru *Amesahau Mengi ni ‘Barrick’, Kilango hoi KUNA chembe ya kutaka nafasi ya 'u-wokovu' na hata 'ufia dini' ambayo inaelekea inagombewa na baadhi ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za kuaminika toka ndani ya Wanachama ngazi ya juu chama cha CCM inasema, wataalamu kutoka South Afrika walitumia ujuzi wao wa kuongoza Raia kwa kuwafundisha Serikali ya Tanzania kumtumia...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani huu ni wivu wa kiimani au nini wadau?...huyu Mtu kumuonea wivu Babu anamaana gani. hebu ichekini hii taarifa ilyoandikwa na Elizabeth Suleyman gazeti la mwnanchi....15 march 2011 Mtume...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
A man, sitting outside his home about to be evicted from his house, was contemplating how the future would be.. He had divorced his wife, lost his children, lost his job. He notices a crate of...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
aagiza wastaafu wa jumuiya ya africa mashariki walipwe mara moja,na pia amtaka mkullo akaze buti kwenye makusanyo ya mapato...thanx to loliondo atleast someone is coming back to his senses
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mama mkwe: Binti samahani lakini,kusema kweli Huyu mtoto hafanani na kijana wangu kabisa. Binti:Mama bila samahani, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy. :gossip:
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanajf naomba mnitajie majina matatu ya jaji mkuu, na katibu wa bunge. Sina nia mbaya naomba tu anayefahamu anijuze maana hii ni moja ya faida za jf.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
My friend kanitumia email hii (Msijesema sijasema meitoa wapi bure...) A famous heart specialist doctor died and everyone was gathered at his funeral. A regular coffin was displayed in front...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Mzee wakichaga uvumilivu umemshinda, baada ya kupigia hesabu mia tanotano za babu, kaingiwa na uchu kaamua kumtoa kijana wake wa pekee mwanafunzi kwenda kwa babu na kudai eti ni mtoto wa babu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
chonde chonde Mods. wanasema samehe 7 x 70
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Mbona kila anaetetea dawa za huyu Babu wa LOLIONDO anaonekana kama ni mpenzi au Mkereketwa wa CDM? maana wote wanaotetea hiyo dawa ukifuatilia post zao nyingi utaona wameshabikia CDM!!! Sasa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…