MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Mzee wakichaga uvumilivu umemshinda, baada ya kupigia hesabu mia tanotano za babu, kaingiwa na uchu kaamua kumtoa kijana wake wa pekee mwanafunzi kwenda kwa babu na kudai eti ni mtoto wa babu alimzaa long huko uchagani.
Babu hakatai kondoo, kasema ok ,utasaidia kwenda kutafuta dawa na kuni watu wapate dawa
Mtoto hataki kazi yoyote anataka kuwa cashier tu!
Babu hakatai kondoo, kasema ok ,utasaidia kwenda kutafuta dawa na kuni watu wapate dawa
Mtoto hataki kazi yoyote anataka kuwa cashier tu!