Mbona kila anaetetea dawa za huyu Babu wa LOLIONDO anaonekana kama ni mpenzi au Mkereketwa wa CDM? maana wote wanaotetea hiyo dawa ukifuatilia post zao nyingi utaona wameshabikia CDM!!!
Sasa napata wasiwasi kuwa huenda huyu BABU anauhusiano au ni Mpenzi wa CDM hivyo wanaotetea dawa hiyo tata hawaoni wala hawasikii ili mradi wanatetea dawa inayotolewa na mwenzao hapa ndipo tulipofikishwa WaTZ!!!!!!
Sasa napata wasiwasi kuwa huenda huyu BABU anauhusiano au ni Mpenzi wa CDM hivyo wanaotetea dawa hiyo tata hawaoni wala hawasikii ili mradi wanatetea dawa inayotolewa na mwenzao hapa ndipo tulipofikishwa WaTZ!!!!!!