Black Devil
Member
- Mar 16, 2011
- 58
- 8
Habari za kuaminika toka ndani ya Wanachama ngazi ya juu chama cha CCM inasema, wataalamu kutoka South Afrika walitumia ujuzi wao wa kuongoza Raia kwa kuwafundisha Serikali ya Tanzania kumtumia Babu wa Loliondo (bila ya yeye kujua) kuelekeza matangazo yote ya Redio, Tv, Magazeti n.k ihamie Loliondo badala ya kuwa kama yalivyokuwa yamehamishia nguvu zake za kumkosoa Raisi JK na chama cha CCM.
Hata South Afrika, Watu weusi huwa wanakuwa na maamuzi ya ajabu wanaposikia neno SANGOMA (Mchawi), viongozi hao wa ngazi ya juu CCM wamesema, Vigogo wote wanaoenda Loliondo ni danganya toto bali ni kwa ajili ya kuwahamashisha Raia wa kawaida waendelee kwenda Loliondo na kuwafanya wasahau matatizo yao ya kila siku!
Hata sisi tunaona labda kuna ukweli ndani yake, maana kama kawaida ya CCM wangeweza kuficha sura za Vigogo wao kama wangetaka maana CCM ni watu mashuhuri sana kwa kuficha chochote kinachohusu chama au watu wao wa chama.
Hata South Afrika, Watu weusi huwa wanakuwa na maamuzi ya ajabu wanaposikia neno SANGOMA (Mchawi), viongozi hao wa ngazi ya juu CCM wamesema, Vigogo wote wanaoenda Loliondo ni danganya toto bali ni kwa ajili ya kuwahamashisha Raia wa kawaida waendelee kwenda Loliondo na kuwafanya wasahau matatizo yao ya kila siku!
Hata sisi tunaona labda kuna ukweli ndani yake, maana kama kawaida ya CCM wangeweza kuficha sura za Vigogo wao kama wangetaka maana CCM ni watu mashuhuri sana kwa kuficha chochote kinachohusu chama au watu wao wa chama.