Nakata Rufaa: Rev.Masanilo Atoke Jela

Nakata Rufaa: Rev.Masanilo Atoke Jela

Jamani Mods tunawasihi naomba mmfungulie Rev Masanilo, mbona kuna members wengine ambao kwa makusudi huwa wanachafua hali ya hewa hapa jamvini ikiwemo huyo dogo Kupeng'e, Majimshindo, Genius brain hawachukuliwi hatua yoyote, na mara zote BANS za Rev zinatokana na uchokozi wa baadhi ya Member humu jamvini naomba mmuache huru...
 
chonde chonde Mods.

wanasema samehe 7 x 70
Naunga mkono hoja, MODS wanaacha kuwatoa watu wanaosumbua na kupotosha malengo ya mada mbalimbali wanakimbilia kufungia mtu ambaye ametaja neno SOKWE tena mara moja anachwa anayeeneza kila siku udini ukabila na mambo kama hayo, yupi kati ya hao wenye impact mbaya kwa jamii.
 
Kuna jamaa yangu anaitwa Quonqure, Wacha, Geza ulole, Abduhalim na wengine wengi tu, nao wako gerezani?
 
siku hizi kuna vi mod yaan kama viko field vile...vinafanya majaribio.....ajabu sana


tunaomba Rev arudishwe fasta.....

mtu kama kashaga anafanya nini huku..hawa ndio wa kufungia kabisa ..wanaleta vurugu humu na kuchafua janvi
 
Jamani Mods tunawasihi naomba mmfungulie Rev Masanilo, mbona kuna members wengine ambao kwa makusudi huwa wanachafua hali ya hewa hapa jamvini ikiwemo huyo dogo Kupeng'e, Majimshindo, Genius brain hawachukuliwi hatua yoyote, na mara zote BANS za Rev zinatokana na uchokozi wa baadhi ya Member humu jamvini naomba mmuache huru...
If MODS were serious enough these are the members whom should be dealt with including muhogomchungu ambaye kila bandiko lake ni la kidini.

Kama ni JF kukimbiwa na prominent members sababu kubwa itakuwa Mods wasio makini wameshindwa ku manage, sijui hivyo vyeo vinakuwaje lakini mimi ninavyofahamu ukiwa unadeal na human resources zaidi ya watano lazima uwe umepiga shule kidogo upande wa administration & menagement vinginevyo utasababisha mambo yasiende, jambo dogo sana kazini linaweza kusababisha kampuni ifungwe si kuwa inapata hasara NO umeshindwa ku manage mahusiano ya wafanyakazi.

Ushauri wangu kwa JF owners wajue JF inakuwa inahitaji a well and highly trained pesonnel ku manage uwingi wa members mkiendelea kupeana kwa kuangalia number of posts alizonazo ndipo anakuwa MOD mtapotea.
 
Naunga mkono hoja....sioni sababu mtu kama Kupeng'e,Topical,Genius brain,nk......hawapigwi BAN...matokeo yake wanawapiga BAN....wakina Quinene na mzee Rev.Masanilo
 
Rev. Masanilo aachiwe huru haraka sana, vinginevyo tutaandamana humu si mchezo.

Peopleeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.

Mods ujue sauti ya umma ni sauti ya Mungu. Mexence Melo naomba hii rufaa ya Rev. Masanilo isikilizwe haraka sana.
 
Natoa masaa 24 asipofunguliwa namwaga virus wa kufa mtu humu ukumbini.
 
chonde chonde Mods.

wanasema samehe 7 x 70


Umekosa kazi wewe! hivi mtu mwenye akili zake timamu anaweza kulalamika kuhusu kufungiwa kwa Masanilo? yule jamaa anajulikana kwa matusi yake na kejeli kwa dini za wenzie, labda tabia zenu zinafanana ndio maana una lalama hapa kama mtoto.
 
Kipeng'e Rev. alikufanya nini mpaka unamuombeas life ban??? Mods kifungo kinatosha tunahitaji busara zake jamvini!!!:gossip:
 
Back
Top Bottom