Wajameni nakosa raha humu JF

Wajameni nakosa raha humu JF

kasopa

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
303
Reaction score
58
Sinaraha kutokuwepo kwako amani sina moyoni. jameni faraja imepotea umepatwa nini ewe Michelle wetu janvini kupotea Japo Lizzy LD na Afrodenz. (Dena amsi punguza mchunguzi wewe). Finest. Uporoto. Maria roza. Cpu na babulao. festlady. Mwanjamiflani. Shost. Katavi. wantupa faraja kuwepo kwao lakini nafasi yako inavuja tafadhali Lzzy nifkishie salam. Nawapenda sanaaaa Mbarikiwe
 
yupo usife moyo inshaallah atawasili muda si mrefu,,,we vumilia tuu ndio maisha hayo....
 
Lzzy inamana mimi sioni?? nimemtafuta zaidi ya masaa 10 simuoni janvini
 
Nilham tuna miss sana mmja asipokuwepo hapa inakosesha raha sheusi mangara pia tuna miss kutokuwepo kwake
yupo usife moyo inshaallah atawasili muda si mrefu,,,we vumilia tuu ndio maisha hayo....
 
Sinaraha kutokuwepo kwako amani sina moyoni. jameni faraja imepotea umepatwa nini ewe Michelle wetu janvini kupotea Japo Lizzy LD na Afrodenz. (Dena amsi punguza mchunguzi wewe). Finest. Uporoto. Maria roza. Cpu na babulao. festlady. Mwanjamiflani. Shost. Katavi. wantupa faraja kuwepo kwao lakini nafasi yako inavuja tafadhali Lzzy nifkishie salam. Nawapenda sanaaaa Mbarikiwe

Kasopa bana nimekukosea nini tena hiyo bluuu hiyo nifahamishe tafadhali nijirekebishe
 
Kasopa michelle ameenda loliondo baada ya kufika huko kumetokea matatizo alikiuka masharti ya Babu yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa dumu la lita tano sasa dawa imemzidia mwilini ameambiwa asubirie hadi itakapopungua ndio watamruhusu kuondoka.
 
Hujakosa kitu dadaangu nimegundua tu huwa mgunduzi wamakosa ambayo watu wengi huwa hawasu2kii lakini wewe maramoja huyaona

Kasopa bana nimekukosea nini tena hiyo bluuu hiyo nifahamishe tafadhali nijirekebishe
 
Hdehehehe...anatafuta gia ya kuongea na wewe!!!
( Shemeji mbaya hajambo???[/COLOR] )


Lizzy bana acha kugonga pentagon live.

Nimecheka (Shemeji yako siku hizi ana vituko kweli eti ananiita Baby nimecheka sana jana na uzee wote huu nimekuwa Baby)
 
Aloooouu salaale shughulipevu hiyo kimwana wetu jamaniiii nishkeni mkono sina nguvu miee

Kasopa michelle ameenda loliondo baada ya kufika huko kumetokea matatizo alikiuka masharti ya Babu yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa dumu la lita tano sasa dawa imemzidia mwilini ameambiwa asubirie hadi itakapopungua ndio watamruhusu kuondoka.
 
hii crap inafaa kwenda lounge ya cheat-chat
 
Hata wewe nimeshakugundua sasa ngoja niku PM

Usini PM bibie ingekuwa wakati ule naile invatara yako ya zamani hapo ingekuwa sawa laknini sasa naogopa kurudisha uliko toka
 
Sinaraha kutokuwepo kwako amani sina moyoni. jameni faraja imepotea umepatwa nini ewe Michelle wetu janvini kupotea Japo Lizzy LD na Afrodenz. (Dena amsi punguza mchunguzi wewe). Finest. Uporoto. Maria roza. Cpu na babulao. festlady. Mwanjamiflani. Shost. Katavi. wantupa faraja kuwepo kwao lakini nafasi yako inavuja tafadhali Lzzy nifkishie salam. Nawapenda sanaaaa Mbarikiwe
we mkaree

umenikumbusha rapa wa FM academia aisee
wapi mama switii
wapi ndama mutoto ya ngombe
wapi papa msofe
wapi mutu ya mayi kitokololo

khe khe kheheheeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom