JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mfugaji wa kasuku alimrudisha kasuku kwa muuzaji ili ampe mwingine kwani anatukana sana, Muuzaji kampa mwingine na kumwambia huyu mstaarabu ten akinyanyua mguu wa kulia anaongea kiingereza, wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Karume baba alitembelea gerezani kwa nia ya kutoa msamaha kwa wafungwa ambao makosa yao hayakuwa makubwa. Kila mmoja akaeleza kosa lililomleta pale kama kuiba kuku, kumtukana jirani. Ilipofika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikiliza hii video ambayo imetundikwa kwenye Youtube. Msikilize mzungumzaji wa pili akizungumzia Rais JK kupata kikombe cha Babu. Je ni kweli? Nawasilisha.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
As alaykum.Naitwa Ally, ni mwalimu shule ya sekondari serikalini,umri ni miaka 25.Natafuta mke wa kumuoa Serious! Awe na sifa: *Muislamu Mchamungu *Asizidi miaka 22 *Awe amehifadhi Quran Tukufu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Padri na shekhe walikutana kwenye ndege, Padri akamkaribisha shekhe kitimoto,shekhe akasema si hatulagi, padri akasema mnakosa uhondo. Wakati wa kushuka shekhe akamwambia padri msalimie mke...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema. Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mzee saidi kasindikizwa na mkewe hadi kituo cha basi kuwahi safari.mkewe aliporudi home saidi alikumbuka amesahau CV yake ikabidi airudie.kufika nyumbani kampata mkewe anaosha vyombo na kutaka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kati ya maswali ambayo huwa najiuliza na sipati jibu ni-kwanza,vipi sumatra wanashindwa kudhibiti daladala kujipandishia nauli kiholela- hasa jijini dar? pili; hivi wakati wa mwaibula hakukuwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani hizi njaa zinatupeleka pabaya na hawa viongozi wetu inaonekana ni hopless mandazi. Bibi mwingine yupo mtwara katk kijiji alichozaliwa mkapa naye anagawa kikombe kwa jero jero. Mpaka jioni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
(a)Ni mayai mangapi waweza weka katika kapu tupu? (b)Ni Mara ngapi tunaweza kutoa 6 kutoka 30?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hana miguu lakini anasimama... Hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia... Ni mdogo kiumbo,lakini akikasirika anaongezeka ukubwa.. Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
A very sad joke, but its like truth any way Conversation between a child and the Judge in court: Judge: Do you want to live with your mother? Child: No Judge: Why? Child: She beats me. Judge...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
section G: jibu maswali yote; marks awarded 100% time: 10mnts. QN1. kama hela haitoki kwenye miti, kwanini benki zina matawi? QN2. kwa nini gundi haigandi kwenye chupa yake? QN3. kama hatutakiwi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kufuatia hatua ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania kubariki huduma ya uponyaji inayoendelea kufanywa na mmoja wa wachungaji wake wastaafu mch. ambilikile mwasapile baada ya kuoteshwa na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dua
Mtoto aliomba dua mbele ya wageni na familia yake: "Ee Mungu nakushukuru kwa kunipa wazazi wakarimu; Nakushukuru kwa kuwaleta wageni hawa waliomaliza chakula changu; Nakuomba Mungu usiwalete...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dogo m1 wa darasa la kwanza alipanda daladala huku akiimba kwa sauti kubwa v2 alivyofundishwa school “baba akiwa jogoo mama akiwa kuku mimi ntakua kifaranga,… baba akiwa beberu mama akiwa mbuzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanamume mmoja alikuwa akiendesha gari nje ya mji, karibu na krosi akapishana na mdada akitokea upande wa pili wa barabara. Yule mdada akatamka, "Pundaaaaa!". "Punda mwenyewe, ng'ombe we...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kikombe ndicho kimempa Obama nguvu ya kumpiga Gaddafi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
One day a girl celebrated her birthday. Two days later, her older twin brother celebrated his. How is this possible?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…