Kuna ukweli wowote kuhusu JK?

Kuna ukweli wowote kuhusu JK?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Nimesikiliza hii video ambayo imetundikwa kwenye Youtube. Msikilize mzungumzaji wa pili akizungumzia Rais JK kupata kikombe cha Babu. Je ni kweli?

Nawasilisha.


 
Last edited by a moderator:
Nimesikiliza hii video ambayo imetundikwa kwenye Youtube. Msikilize mzungumzaji wa pili akizungumzia Rais JK kupata kikombe cha Babu. Je ni kweli?

Nawasilisha.




huyo mzungumzaji si amesema kama wewe ulivyobandika hapa? Labda umweke JK mwenyewe akipata kikombe.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.

Lakini hata tuki-assume kwamba amepata kikombe then what? Watu wanashindwa kuelewa kwamba rais naye ni binadamu mwenye utashi na mapenzi yake. Kama anaamini kwamba kuna uponyaji anahitaji kusubiri aje Obama kupata kikombe ndipo na yeye aamini juu ya ukweli wa uponyaji wake? Tuache kudhani kwamba Rais hana haki kama raia wengine. Mbona akienda msikitini hatusemi lolote? Si kwa sababu hilo siyo jambo la ajabu? Mimi nafikiri criticism anayopewa rais ni utterly uncalled for and unfair. Kule Gambia kuna Rais anayedai kuponya ukimwi kwa dawa za kienyeji lakini hakuna hata aliyepiga makelele yanayopigwa hapa kwetu. Very unfair!
 
Inaweza kuwa kweli kwa kuwa Baraza lake karibu lote limekunywa....conspiracy theories zinadai yeye alifika alfajiri sana na ma VX meusi matatu....babu akasema masharti ya dawa mpaka jua lichomoze...akakaa kwenye gari masaa matatu...akabwia akaelekea kwenye zile nyayo ya kale...baada ya raia kuon Rais kanywa ndio wakaanza kufurika kama ilivyo sasa...lakini anaonekana yuko revitalised ingawa jana niliona gari la REDBULL mitaa ya magogoni...:smile-big:

kikwete.jpg
 
Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.

Inawezekanaje Rais asijue Samunge iko wapi wakati yeye ni mkuu wa nchi. We chizi nini? Tuachie upuuzi wako hapa
 
Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.

Inawezekanaje Rais asijue Samunge iko wapi wakati yeye ni mkuu wa nchi. We chizi nini? Tuachie upuuzi wako hapa

Hakika wewe ndiye kinara wa wapuuzi na leo umethibitisha hilo. Umeambiwa Rais anahitaji kujua hata vichochoro ambavyo kabla ya katikati ya February 2011 vilikuwa havijulikani hata na wakuu wa wilaya husika? Nye ndiyo huwa mnadhani Rais ana wajibu wa kujua kila kitu hata kile ambacho hakina significance kwa taifa au majukumu yake. Hovyoooooooooo!
 
Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.

Inawezekanaje Rais asijue Samunge iko wapi wakati yeye ni mkuu wa nchi. We chizi nini? Tuachie upuuzi wako hapa

Mkuu, pale OLDONYO LENGAI alipoenda kikwete kufukua nyayo za mtu wa kale akapigwa na picha na magazeti ni karibu mno na kwa babu! yaani ni kama Mwenge na tegeta, mie naona ile kufukua nyayo ilikuwa zuga tu...lengo lilikuwa Samunge! ALIENDA BWANA! na mamsap akafuata baadae wenyeji woote kule wanajua kuwa alienda japo alienda kimachale!
 
Hakika wewe ndiye kinara wa wapuuzi na leo umethibitisha hilo. Umeambiwa Rais anahitaji kujua hata vichochoro ambavyo kabla ya katikati ya February 2011 vilikuwa havijulikani hata na wakuu wa wilaya husika? Nye ndiyo huwa mnadhani Rais ana wajibu wa kujua kila kitu hata kile ambacho hakina significance kwa taifa au majukumu yake. Hovyoooooooooo!

Mi nwasubiria tu! mkianza kudundana nafotoa tu alafu nwabandika hapa. Siku nyingi sijaona ngumi za watu wazima!
 
Mkuu, pale OLDONYO LENGAI alipoenda kikwete kufukua nyayo za mtu wa kale akapigwa na picha na magazeti ni karibu mno na kwa babu! yaani ni kama Mwenge na tegeta, mie naona ile kufukua nyayo ilikuwa zuga tu...lengo lilikuwa Samunge! ALIENDA BWANA! na mamsap akafuata baadae wenyeji woote kule wanajua kuwa alienda japo alienda kimachale!

Mkuu hapo kwenye red sijui kama kuna ukweli kuwa ndo Mkulu alienda kufaya hiyo kazi. Sahihisha mkuu! mimi nakunong'oneza ni OLDUVAI kwa kiswahili ila kikwetu tunaita OLDUPAI
 
Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.

Lakini hata tuki-assume kwamba amepata kikombe then what? Watu wanashindwa kuelewa kwamba rais naye ni binadamu mwenye utashi na mapenzi yake. Kama anaamini kwamba kuna uponyaji anahitaji kusubiri aje Obama kupata kikombe ndipo na yeye aamini juu ya ukweli wa uponyaji wake? Tuache kudhani kwamba Rais hana haki kama raia wengine. Mbona akienda msikitini hatusemi lolote? Si kwa sababu hilo siyo jambo la ajabu? Mimi nafikiri criticism anayopewa rais ni utterly uncalled for and unfair. Kule Gambia kuna Rais anayedai kuponya ukimwi kwa dawa za kienyeji lakini hakuna hata aliyepiga makelele yanayopigwa hapa kwetu. Very unfair!
Kwenye blue hapo una uhakika?Hapo kwenye black u h've to respect u'r self unamaanisha kitu kikifanywa na Obama na Mh_wetu haruki?

Hapo kwenye red fikiri kidogo mkuu usiwe unatetea tu upu**m*b***avu eti kisa na wewe uonekane unamtetea Rais.

Kwanza fahamu kua huyu ni kiongozi mkuu wa inji yetu haayupo kwaajili ya dini au kikundi fulani .
Muda na pesa zetu nyingi tu zimetumika kumuweka hapo alipo sasa unataka kutufundisha uwoga na ujinga wa kutofuatilia afya ya rais wetu?

Labda nikuulize sasa maoni yako ninini kwake?
Unataka kumtia moyo aendelee kua onja onja?
Unayajua madhara na hasara tutakayoipata kama Taifa ikitokea amedhurika na lolote lililo baya baada ya kufanya maazi yasiyo na tija kwa taifa?
Au humpendi wewe?

Usiwe na mawazo mgando kwa kudhani kumsifia au kumtetea kutamsaidia unatakiwa kupiga kichwani ili kama ni kweli ajue amekurupuka na kama sivyo anapaswa kujitambua kua yeye amebeba dhamana kubwa kwenye inji yetu so asiwe tester.

You have to think deep sio una bwabwaja tu mkuu.
 
Back
Top Bottom