Kwanza siyo kweli kwamba JK amepata kikombe cha babu kama inavyodaiwa na wazushi waliotapakaa kila mahali na ambao wanahisi hawawezi kukitia uhalali kikombe cha babu bila kuwataja wakubwa ambao wengine hawajui hata Samunge iliko.
Inawezekanaje Rais asijue Samunge iko wapi wakati yeye ni mkuu wa nchi. We chizi nini? Tuachie upuuzi wako hapa
Mkuu, pale OLDONYO LENGAI alipoenda kikwete kufukua nyayo za mtu wa kale akapigwa na picha na magazeti ni karibu mno na kwa babu! yaani ni kama Mwenge na tegeta, mie naona ile kufukua nyayo ilikuwa zuga tu...lengo lilikuwa Samunge! ALIENDA BWANA! na mamsap akafuata baadae wenyeji woote kule wanajua kuwa alienda japo alienda kimachale!