The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,461
Hana miguu lakini anasimama...
Hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia...
Ni mdogo kiumbo,lakini akikasirika anaongezeka ukubwa..
Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona kuliko wenye macho mawili..
Hali chakula,lakini hutapika....
Huishi kwenye joto.....
Ni nani huyu???????????
Hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia...
Ni mdogo kiumbo,lakini akikasirika anaongezeka ukubwa..
Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona kuliko wenye macho mawili..
Hali chakula,lakini hutapika....
Huishi kwenye joto.....
Ni nani huyu???????????