Kitendawili ???????

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,063
115,461
Hana miguu lakini anasimama...
Hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia...
Ni mdogo kiumbo,lakini akikasirika anaongezeka ukubwa..
Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona kuliko wenye macho mawili..
Hali chakula,lakini hutapika....
Huishi kwenye joto.....

Ni nani huyu???????????
 
mimi nimependa kuwa hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia.
respect......lol
 
Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona kuliko wenye macho mawili..
 
Umesahau mshikaji jamaa amebeba zigo la mipira miwili kwenye rambo na autui kamwe.
 
anafanya kazi migodini na anapenda sana shift za usiku afu hachoki wala kutoka mgodini hadi atapike
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom