mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Dogo m1 wa darasa la kwanza alipanda daladala huku akiimba kwa sauti kubwa v2 alivyofundishwa school baba akiwa jogoo mama akiwa kuku mimi ntakua kifaranga,
baba akiwa beberu mama akiwa mbuzi mimi nitakua ndama dogo aliimba kwa muda mrefu mpaka kondakta akakasirika, akamwambia Ah weee! hebu nyamaza.. jee kama baba angekua ****** na mama malaya weee ungekua nani? dogo dogo akamjibu ningekua kondakta