Konda na denti

Konda na denti

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
366
Reaction score
69
Dogo m1 wa darasa la kwanza alipanda daladala huku akiimba kwa sauti kubwa v2 alivyofundishwa school “baba akiwa jogoo mama akiwa kuku mimi ntakua kifaranga,… baba akiwa beberu mama akiwa mbuzi mimi nitakua ndama’’ dogo aliimba kwa muda mrefu mpaka kondakta akakasirika, akamwambia ‘’Ah weee! hebu nyamaza.. jee kama baba angekua ****** na mama malaya weee ungekua nani?” dogo dogo akamjibu “ningekua kondakta
 
huyo kondakta ndo akome, kwanini anamwingilia mwenzake katika kujifunza kwake!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom