msadapadasi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 504
- 62
section G: jibu maswali yote;
marks awarded 100%
time: 10mnts.
QN1. kama hela haitoki kwenye miti, kwanini benki zina matawi?
QN2. kwa nini gundi haigandi kwenye chupa yake?
QN3. kama hatutakiwi kuendesha gari tukiwa tumelewa, kwa nini bar kuna car packing?
QN4. kama neno abbreviation lina maana ya ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu?
MWISHO:
marks awarded 100%
time: 10mnts.
QN1. kama hela haitoki kwenye miti, kwanini benki zina matawi?
QN2. kwa nini gundi haigandi kwenye chupa yake?
QN3. kama hatutakiwi kuendesha gari tukiwa tumelewa, kwa nini bar kuna car packing?
QN4. kama neno abbreviation lina maana ya ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu?
MWISHO: