mtihani w maarifa yadunia;

msadapadasi

JF-Expert Member
Jan 18, 2011
504
62
section G: jibu maswali yote;
marks awarded 100%
time: 10mnts.

QN1. kama hela haitoki kwenye miti, kwanini benki zina matawi?
QN2. kwa nini gundi haigandi kwenye chupa yake?
QN3. kama hatutakiwi kuendesha gari tukiwa tumelewa, kwa nini bar kuna car packing?
QN4. kama neno abbreviation lina maana ya ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu?
MWISHO:
 
Ndugu msada...... Ukijibu vema kuna zawadi? maana maswali hayo ya ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom