Mfilekile ni jina la Kinyakyusa, wao huwa wanafupisha na kuita Mfile.
Mbwambo ndio mwisho wa yote, kule kwetu Tanga wenye jina hilo huipata fresh mtaani kwa kuitwa kwa kifupi. Mbwa au mbo.
Kuna mwanafunzi mmoja alikua ni mpemzi sana wa masomo lakini tatizo likawa ni moja tu! Kuna jamaa mmoja alikua amemganda kishenzi kisa mpenzi wake wa long time dada ni mwanafunzi wa Sec school...
Mpendwa wangu Mama Salma Kikwete hasikiki. Mwenye kujua habari zake anijuze. Wengine walisema kakwama kwa Babu Loliondo, wengine ooh..kenda nyumbani kutayarisha mashamba msimu wa mvua, mara ooh...
PROFILE
Sheikh Mwinyi Aboud Jumbe (born 1920) was a politician in Zanzibar. He held several positions, including the second president of Zanzibar, chairman of the Revolutionary Council...
"Most 'First Class' students get Technical seats, some become Doctors and some Engineers, The 'Second Class' students then passes MBA and become Administrators and control the 'First Class', The...
sulihisho la maisha mazuri tanzania ni watanzania kujivua magamba yao na si kujivua kwa ccm peke yake cos watanzania ndio wenye magamba makubwa. na wasifikirie bila kujivua magamba yao nchi hbii...
Wana jf msada kuna uvumi kwamba mubunge afumaniwa na kamera mjengoni akiangaria picha zangono kwenyesim yakeyamkononi mwenyetalifa msada kamanikweri au uzushi nawasilisha
Mke alimuuza mme wake
"hv kwann mwanamke akiwa anatembea na wanaume weng huitwa majna meng tena ya ajabu ajabu lakn mwanaume akiwa anazn ma wanawake weng huonekana shujaa mara utackia akiitwa...
watanzania tunafahamu mchango wa yusuf makamba katika kukijenga Chama cha Mapinduzi (CCM) ametangaza rasmi mwaka 2015 atachukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania . nadhani kwa upande wa taifa...
naombeni baraka zenu wana jamvi, mie ni mgeni katika uwanda huu.....
nkipata baraka zenu basi mie ntavua viatu na kujikung'uta mavumbi na kuingia rasmi then 2tashare ideas...
Mmakonde navyojua kupenda balaa!mkewe alipokwenda kusalimia wakweze yaani wazazi wa mmakonde na kukaa huko kwa muda mrefu, jamaa(chinga) akaandika barua kuwajulia hali wote na aliaanza hivi : Baba...
Hello friends we can now have friends without them knowing us or even without us knowing them,we can share our interests and so many things so let us enjoy it.......what you have to do is to...
Mimi na mmoja ya wasomaji wazuri wa safuhii ya mahusiano, mapenzi na urafiki. Ila nimekuwa na wakati mgumu kuelewa virefu vya vifupissho hivi MMU na PM. naomba mnijuze maana zake. I beg to submit.
Jamaa zangu Chinga wanajua sana kwenda na wakati na matukio hasa wakati wa kuwapa majina watoto wao. Hii nilithibitisha pale Maandazi road nilipomsikia baba Ochama akiimuuliza nkewe mama Ochama...
kuna jamaa mmoja alibahatika kwenda kusoma majuu kwa miaka miwili.
aliporudi tz, basi mwendo wake ukawa wa kudunda dunda na kuinamia upande
mmoja (kushoto) basi cku moja baba yake akamuuliza, kwa...