Mke na mme

Mke na mme

P I M

Senior Member
Joined
Feb 16, 2011
Posts
139
Reaction score
24
Mke alimuuza mme wake
"hv kwann mwanamke akiwa anatembea na wanaume weng huitwa majna meng tena ya ajabu ajabu lakn mwanaume akiwa anazn ma wanawake weng huonekana shujaa mara utackia akiitwa dume la mbegu, jembe na mengne meng?"
mme bla hata kufkirha akamwambia mbona jb lake ni rahc 2, hv kwann kufur 1 likiwa linafunguliwa na kila ufunguo huonekana halifai lakn ufunguo m1 unaofungua makufuri meng hucfiwa na kuitwa master key?
 
sidhani km wanawake wataifurahia hii!It is not Gender sensitive!!
 
Mke alimuuza mme wake
"hv kwann mwanamke akiwa anatembea na wanaume weng huitwa majna meng tena ya ajabu ajabu lakn mwanaume akiwa anazn ma wanawake weng huonekana shujaa mara utackia akiitwa dume la mbegu, jembe na mengne meng?"
mme bla hata kufkirha akamwambia mbona jb lake ni rahc 2, hv kwann kufur 1 likiwa linafunguliwa na kila ufunguo huonekana halifai lakn ufunguo m1 unaofungua makufuri meng hucfiwa na kuitwa master key?

Ufunguo mmoja unaoweza kufungua makufuli mengi kwa lugha yetu ya taifa hujulikana kama "funguo malaya"!
 
Mke alimuuza mme wake
"hv kwann mwanamke akiwa anatembea na wanaume weng huitwa majna meng tena ya ajabu ajabu lakn mwanaume akiwa anazn ma wanawake weng huonekana shujaa mara utackia akiitwa dume la mbegu, jembe na mengne meng?"
mme bla hata kufkirha akamwambia mbona jb lake ni rahc 2, hv kwann kufur 1 likiwa linafunguliwa na kila ufunguo huonekana halifai lakn ufunguo m1 unaofungua makufuri meng hucfiwa na kuitwa master key?
wanaume wamerithi kwani mfalme solomon pia alikuwa na wanawake 700 na vimada 300. cdhani kama kwa sasa kuna mwenye uwezo kama huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom