Majina ya Kimakonde

Capitano

JF-Expert Member
Apr 7, 2011
1,959
1,633
Hebu tuangalie kidogo majina ya jamaa zetu chinga.
1.Antimbulenge
2.Licholonjo
3.Litowonyo
4.Nampwenge
5.Lingwalangwanji.
Endeleza.............
 
Madingi,
Mbela
lingumbu
Chapat
Nangurukuru
Chanumbile nungu kumemena kacholo re'dyanga!!
 
Chikonge......

Julius Kambarage Nyerere....

Edward Moringe Sokoine.....

Kingunge Ngombare Mwiru...

Chamola Macheli.
 
Hebu tuangalie kidogo majina ya jamaa zetu chinga.
1.Antimbulenge
2.Licholonjo
3.Litowonyo
4.Nampwenge
5.Lingwalangwanji.
Endeleza.............



we capitano mbona unampiga sana mwenzako kwenye avatar?
sio poa

acha kumchapa makof mwenzako
 
mmakonde akiona kitu kizuri atajipa jina la hicho kitu, mfano kuna jamaa alinunua baiskeli huko nanyamba ntwara kijiji kizima yeye ndo alikuwa na baiskeli aina ya bmx basi jirani yake akajiita hilo jina la la baiskeli eti NANGU BMX!
 
Back
Top Bottom