Z zayat JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 337 Reaction score 42 Apr 12, 2011 #1 MKE>Darling leo nimeanza kufanya DIET MUME>Ooh very nice Konda mwili wote lakini please usije UKAKONDA MAKALIO YAKO
MKE>Darling leo nimeanza kufanya DIET MUME>Ooh very nice Konda mwili wote lakini please usije UKAKONDA MAKALIO YAKO
Rose1980 JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 5,684 Reaction score 1,309 Apr 12, 2011 #2 :love::love::love::love::love: basi awe anakula uku akiwa anaangalia nyuma ili chakula kiende kubase nyuma na si sehemu nyngne za mwili
:love::love::love::love::love: basi awe anakula uku akiwa anaangalia nyuma ili chakula kiende kubase nyuma na si sehemu nyngne za mwili
Wa Nyumbani JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 438 Reaction score 67 Apr 12, 2011 #3 Mmmmh, hayo mambo ya vigezo hatuingilii.
Lucious Member Joined Mar 25, 2011 Posts 47 Reaction score 22 Apr 13, 2011 #4 je kuna matumizi gani huko kwenye makalio wanajua mabo ya familia hatusemi
S Samuel A K Member Joined Mar 31, 2009 Posts 45 Reaction score 1 Apr 13, 2011 #5 ukikonda makalio, utapata tabu wakati wa kutoa haja kubwa (Utachanika!!!!!!!!!!!)
Criss JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 1,944 Reaction score 3,090 Apr 13, 2011 #6 Au jamaa mende nini?
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Apr 13, 2011 #8 Huyo mume anatia shaka
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Apr 13, 2011 #9 Criss said: Au jamaa mende nini? Click to expand... Itakuwa hivo.