Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,635
Mmakonde navyojua kupenda balaa!mkewe alipokwenda kusalimia wakweze yaani wazazi wa mmakonde na kukaa huko kwa muda mrefu, jamaa(chinga) akaandika barua kuwajulia hali wote na aliaanza hivi : Baba chalamu (salaam) mama chalamu nke wangu chikamoo. Du jamaa anjua kupenda.