Ila wanawake wa Dar ni kiboko

Ila wanawake wa Dar ni kiboko

Joined
Mar 25, 2018
Posts
16
Reaction score
74
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze. Anakusogezea kalio mpaka unatamani umuombe msamaha.

Hivi ni kwamba wanaume tunawindwa kwenye usafiri wa umma? furaha yenu wanawake ni kudungwa tu ama ndo kitega uchumi uchafuke udai hela?
 
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze. Anakusogezea kalio mpaka unatamani umuombe msamaha.
Hivi ni kwamba wanaume tunawindwa kwenye usafiri wa umma? furaha yenu wanawake ni kudungwa tu ama ndo kitega uchumi uchafuke udai hela?
sina maoni,

ila michezo ya buku2 kila siku, vikoba vya wiki na mikopo ya kausha damu vina drive crazy wanawake wengi mno hasa dar aise gentleman 🐒
 
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze. Anakusogezea kalio mpaka unatamani umuombe msamaha.

Hivi ni kwamba wanaume tunawindwa kwenye usafiri wa umma? furaha yenu wanawake ni kudungwa tu ama ndo kitega uchumi uchafuke udai hela?
Ungejiuliza kwanza kwa nini serikali yako imefeli mpaka raia mnajazana na kubambiana na kuambukizana magonjwa kwenye dalaladala.
 
Back
Top Bottom