JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwalimu: Baba yako anamiaka mingapi? Dogo: Ni miaka saba kama mimi. Mwalimu: Acha utani, itakuwaje uwe umri sawa na Baba yako? Dogo: Unajua Baba aliikataa mimba, ila alikuja kukubari baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend? Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
0 Reactions
34 Replies
3K Views
what if there was no love
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Eti: 1.Maskini,waoga na washamba-SUA 2.Matajir wajanja na wenye akili za maisha-MU (MZUMBE) 3.Wenye akili chache, wavivu,wahuni na matozi (sharobaro),masister duu-CBE DAR 4.Malaya,wasanii,wauza...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Nimeamini makonda wa daladala tangu wanapoondoka majumbani mwao hadi wanapopanda kitandani, wanakutana na vituko vingi katika shughuli yao hiyo. Wapo abiria waelewa na wapo wasioelewa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
niko na swali, hivi most of handsome boyz are gayz? just asking
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wenzetu wa mikoa ya Pwani, Tanga, Dares Salaam na visiwani huwa nacheka mpaka basi ukiwasikia wanavyoongea kiswahili. Haya ni baadhi ya maneno yao1) Bwana anakuja - aja; 2) Anaenda-aenda; 3)...
1 Reactions
22 Replies
11K Views
An old masai man was struggling a bit with english in abroad. He enters a restaurant and wants to order chicken but he can't remember what is chicken in english. So he sees one guy at a table...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana JF... Ndugu yenu nipo kwenye wakati mgumu hakuna kipindi kigumu kwenye maisha yangu kama iki... Hizo benki zote zinanidai jumla ya milioni 80 Kila benki nilikopa milioni 20...
3 Reactions
64 Replies
7K Views
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani. kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
TEACHER: Why did you laugh? BOY: I saw 1 strip of your brazia. TEACHER: Get out of the class for 1 week. 2nd boy laughed. TEACHER: why did you laugh? BOY: I...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimejiuliza sana, leo nimeona bora niulize tu ingawa wengi watasema nimekuja na katabia kangu ka ukabila. Liwalo na liwe. Naomba nijuzeni waungwana, kuna hawa watu wanajiita wachaga........sijui...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Hii ni Post yangu ya 499. Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala. Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
HouseGirl alipika mchicha ila haukuiva,mama aliporudi wakati anakula akagundua mchicha mbichi,akamwambia housegirl kuwa mchicha haujaiva ila yeye(HouseGirl) akabisha, mama kwa hasira akasema...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A salesman was attending an interview for a new job. "so how old are you,sir?" asked the manager "forty" replied the salesman. "how long did you work at previous company?" "fifty years" he...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
DUKANI BONGO Muuzaji: “Samahani kaka,hairuhusiwi kuvuta sigara hapa dukani.” Mteja : “ Mbona? na sigara nimenunua hapahapa?” Muuzaji: “Ebwe! Hivi tukikuuzia condom uta sex hapahapa?!”
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hv inakuaje kama unapokea friend request kutoka kwa mkweo,,,utamuacept au utamuignore?
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Joseph Lusinde akiwaoa Anne Makinda na Anna Chelango Malecela. Watoto watakaozaliwa watakuwaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kulikuwa na msiba wa mtoto wa mbunge ulipofika mda wakuongea kwa niaba ya familia,mbunge akajisahau nakusema wananchi oyee!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…