Kiswahili cha Mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi

WA-UKENYENGE

JF-Expert Member
Oct 1, 2011
2,918
1,233
Wenzetu wa mikoa ya Pwani, Tanga, Dares Salaam na visiwani huwa nacheka mpaka basi ukiwasikia wanavyoongea kiswahili. Haya ni baadhi ya maneno yao1) Bwana anakuja - aja; 2) Anaenda-aenda; 3) Anapenda- apenda; 4) Kuambiwa-ambiwa; 5) Mama mdogo- odo: 6) Unasemaje-wasemaje;7) Anakula - ala;8) Anakimbia - akimbia;9)10)...Hii ni baadhi tu ya lahaja na utamu wa maneno usiseme.WanaJF nirushieni vimsemo mlivyowahi kukutana/kuvitumia ambavyo huku kwetu bara ni nadra kukutana navyo.
 
Wenzetu wa mikoa ya Pwani, Tanga, Dares Salaam na visiwani huwa nacheka mpaka basi ukiwasikia wanavyoongea kiswahili. Haya ni baadhi ya maneno yao1) Bwana anakuja - aja; 2) Anaenda-aenda; 3) Anapenda- apenda; 4) Kuambiwa-ambiwa; 5) Mama mdogo- odo: 6) Unasemaje-wasemaje;7) Anakula - ala;8) Anakimbia - akimbia;9)10)...Hii ni baadhi tu ya lahaja na utamu wa maneno usiseme.WanaJF nirushieni vimsemo mlivyowahi kukutana/kuvitumia ambavyo huku kwetu bara ni nadra kukutana navyo.

chakukuchekesha kitu gani hapo? unataka kusema wewe ndio unajua kusema kama kuna watu wanaongea na ukajisikia utamu ni watu wa pwani..
 
'Ana pikipiki nyuma Kamkalisha mtu' (amebeba abiria kwenye pikipiki) lol! Hicho ndo kiswahl cha pwani.
 
Ndo raha ya kujua lugha, huko kufupisha ndo manake unaielewa vyema lugha uiongeayo. Ya nn kupoteza muda. In English ni kama I am I'm, do not dont, sasa tn kinachochekesha nn hapo!?
 
Back
Top Bottom