JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, Next week! That is Next year!! It's very very big for me. Natimiza muongo mwingine. I am so happy I feel so blessed! Much love.
3 Reactions
14 Replies
728 Views
Nimesha andaa kitendea kazi changu, nasubiria mida mida nikiamshe. HAPPY NEW YEAR WANAJF
1 Reactions
0 Replies
434 Views
Maziwa ya mgando kwangu ni kama mboga za majani, chakula hakishuki bila mtindi Kwa siku lazima nitumie gb 2 hadi 3, nazitumia kucheki youtube, netfllx, video calls, backups, updates, n.k. jf...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale...
0 Reactions
9 Replies
888 Views
Tujuane wadau, labda nilipokaa hapa kuna member wa jf nae ana-browse ila hatujuani. Nimerudi Dar jioni hii ila nimetulia hapa Micassa Pub Ubungo Uko wapi mdau? Mshana Jr LIKUD The Boss...
8 Reactions
156 Replies
9K Views
Nimeona kushare na wanaJF
3 Reactions
2 Replies
477 Views
Naomba kujua bei ya teeth braces hapa Tanzania...
1 Reactions
0 Replies
452 Views
Nipo hapa local bar namalizia glass ya mwisho ili niondoke, lakini Kuna muda pombe ni mbaya sana, yaani faida ni ndogo sana kuliko hasara.nimejikuta najikumbusha kisa kimoja kilinikwamisha sana...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakati tunataka vazi la Taifa basi mbege ifanywe iwe pombe au kinywaji cha taifa Kiukweli hakuna kama mbege!! Tena upate iliyolala siku 3 daaaah Wakuu hakuna kitu kizuri kama mbege yaani unalewa...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Ukifungua nyuzi nyingi huku jamiiforums utashangaa sana kwenye section ya comment kila mtu ana-vimba mfano kama mtu amekuja kuomba msaada utastaajabu watu wanavyotoa majibu ya hovyo sana na...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wakuu, ehee niko apa tena kuomba msaada kwa ajili ya mwili wangu. Nahitaji mganga mchawi kwa ajili ya kunitolea uchawi mwilini, maana nikifanya dawa inafanya mwanzo halafu inafifia, tiba...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii tabia siipendi. Nani kasema ni kumwagiana maji, mambo ya kubatizana yanaanzia wapi.
5 Reactions
27 Replies
884 Views
Wakuu hii tabia imekaaje? Sometimes huwa nawaza labda wadau wananichukuliaje maana kwangu hii ni tabia sugu. Sijawahi kuweka status whatsapp na huwa sifungui kabisa status za watu japo huwa...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Vimekuwepo vingi kuanzia January mpaka tunapokaribia kuumaliza mwaka 2023 Vilikuwepo vya kufurahisha Vilikuwepo vya kushangaza Vilikuwepo vya kuchanganya Vilikuwepo vya kuhuzunisha Vilikuwepo vya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je? Funguka hapa chini👇
12 Reactions
185 Replies
7K Views
kila binadamu ana malengo mapya hasa pale anapoanza mwaka, Katika moja ya malengo yangu natamani kuwa mtu maarufu ambae nitajulikana nchi nzima na africa mashariki, ni kitu gani kitanifanya...
0 Reactions
1 Replies
410 Views
HERI YA SIKUKUU YA KRISMAS WADAU, Uzi huu ni wa kutuma salamu za krismas kwa Wadau wawili hapa jamvini, haijalishi dini, dhehebu, wala kabila lake... Malizia na ujumbe "Nampenda Sana" Mimi...
14 Reactions
308 Replies
11K Views
Enough is enough.
0 Reactions
3 Replies
601 Views
OYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO! Naskia mmenimiss Kinoumaaaaaaa, muhahahahahahahahaha ( In Monster's Voice) Sometimes its good kuadimika ili utengeneze maisha, $$$$ beeeeibeeee Hivi lara 1...
8 Reactions
148 Replies
19K Views
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani. Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya...
27 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom