Mr. Miela JF-Expert Member Aug 2, 2007 1,226 2,055 Dec 28, 2023 #2 Maisha bila pombe yafaa nn? Sira 31:27
Lello199 JF-Expert Member Aug 26, 2016 1,238 3,131 Dec 28, 2023 #3 Pombe bhana, Ukioa UNAKUNYWA Ukiachika UNAKUNYWA Ukifiwa UNAKUNYWA Ukifa Wenzako watakunywa. Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Pombe bhana, Ukioa UNAKUNYWA Ukiachika UNAKUNYWA Ukifiwa UNAKUNYWA Ukifa Wenzako watakunywa. Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Jugado JF-Expert Member Oct 28, 2021 1,449 3,135 Dec 28, 2023 Thread starter #4 Mr. Miela said: Maisha bila pombe yafaa nn? Sira 31:27 Click to expand... Yanafaa pombe imeniharibia mambo mengi maana nikinywa ni kichwa panzi! Nishalala sana na madada poa kisa pombe. Nishapoteza pesa nyingi kisa pombe
Mr. Miela said: Maisha bila pombe yafaa nn? Sira 31:27 Click to expand... Yanafaa pombe imeniharibia mambo mengi maana nikinywa ni kichwa panzi! Nishalala sana na madada poa kisa pombe. Nishapoteza pesa nyingi kisa pombe