Huwa sifungui Status za watu

Darren2019

JF-Expert Member
Nov 23, 2019
1,107
2,373
Wakuu hii tabia imekaaje?

Sometimes huwa nawaza labda wadau wananichukuliaje maana kwangu hii ni tabia sugu.

Sijawahi kuweka status whatsapp na huwa sifungui kabisa status za watu japo huwa naona kabisa list ya majina ya watu waliopost status zao.

Je hii ni dalili ya ubinafsi au ni kawaida tu?
 
Kwangu sio kama sipendi kuangalia status, Sipendi tu wanaoweka Status kama Shanga, mapicha meeeeengi, weka status 3-5 inatosha.. Tena hawa wafanyabiashara ndio kabisa status ya kwanza mpaka 30 huko wanaweka vitu vingi tena havina maelezo

Huwa naskip naangalia zingine tu kwa kweli

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Wakuu hii tabia imekaaje?
Sometimes huwa nawaza labda wadau wananichukuliaje maana kwangu hii ni tabia sugu.
Sijawahi kuweka status whatsapp na huwa sifungui kabisa status za watu japo huwa naona kabisa list ya majina ya watu waliopost status zao.
Je hii ni dalili ya ubinafsi au ni kawaida tu?

Upo kama mimi asee. Sikuwahi kupost chochote kwenye status yangu ya WhatsApp au Facebook. Na kwa ujinga wangu, sizinfungui hata siku moja.
Naona ni utoto tu watu wanachambana huko kwa navyosikia.
 
Hbr za status sitaki kabisa shobo nazo watu wameachana huko kutwa kubandikiana mastatus
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom