sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Maziwa ya mgando kwangu ni kama mboga za majani, chakula hakishuki bila mtindi
Kwa siku lazima nitumie gb 2 hadi 3, nazitumia kucheki youtube, netfllx, video calls, backups, updates, n.k. jf inatumia data kidogo sana
Sigara iliwahi kuwa kama ibada kwangu, nashukuru nimeacha
Kwa siku lazima nitumie gb 2 hadi 3, nazitumia kucheki youtube, netfllx, video calls, backups, updates, n.k. jf inatumia data kidogo sana
Sigara iliwahi kuwa kama ibada kwangu, nashukuru nimeacha