JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naanza mimi; ~ Neno "Sanamu la Michelin" sijalisikia kitambo. ~ Jarida la Tamasha, Bongo. ~ ChemiCola na black current. Katuni ya mapung'o
2 Reactions
90 Replies
13K Views
Kuna majina ukiyasikia tu unaona hili linawakilisha mamlaka. Yaani jina linakuwa na nguvu ndani yake. Umewahi sikia jina gani la mtanzania ukasema hili linasound kimamlaka na nguvu hasa? 1...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu wazima nyie Kuna jamaa humu ndani ananishangaza sana yaani yeye kila post ana dislike. Huyu jamaa anajiita sijui mdudu gani hapo. Kila uzi yeye reaction yake ni dislike tu. Huyu mwamba...
11 Reactions
93 Replies
4K Views
TBC HABARI 2030: Ndugu Tundu Lissu aapishwa kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa rais wa kwanza kuongoza nchi hii kutoka chama cha Upinzani. GAZETI LA MWANASPOTI 2054: ujeruman...
7 Reactions
15 Replies
878 Views
Baada ya kuweka malengo ya kutopiga puli, wazee Leo siku ya pili aisee nipo kwenye maumivu Makali sana yani akili yote inataka iyo kitu Aisee. Lengo la huu mwaka naona nakwenda kulivunja.
6 Reactions
66 Replies
3K Views
Muwe na Weekend Njema na MAADUI zetu tafadhalini msiache Kutuchukia akina GENTAMYCINE. Kudadadeki.....!!
3 Reactions
2 Replies
592 Views
"Ingawa mioyo yetu inapitia maporomoko. 💔➡️❤️ [" #UpendoWetuNiMuhimu"] , Lakini Kuna Siku ambazo moyo unahisi uzito wa yale yote unayo yapitia katika maisha, iwe katika utafutaji wa kifedha...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwenu; Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo. Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje. Maono...
5 Reactions
119 Replies
5K Views
Juzi wakati nikitoka Kaliua kwenda Mpanda katika kuchimba madini tulikatiza mto Ugalla. Wenyeji wa maeneo hayo walinipa taarifa kuhusu malkia wa Ugalla anayekaa ndani ya mto Ugalla. Malkia...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Aisee najisikia uvivu sana, bado had saizi nimelala 11:42 NB:plz usilete vitu serious! Easy “”HUU UZI NA KWA AJILI YA KUREFRESH, KKUPIGA STORY NA MASIHARA”” EASY EASY EASY
5 Reactions
128 Replies
5K Views
Heri ya Mwaka wakuu nimeikuta mahali ina ukweli hii
1 Reactions
1 Replies
338 Views
Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
9 Reactions
191 Replies
13K Views
Mikoa niliyo bahatika kukanyaga aridhi yake kuishi na hata kwa kupita tu ni, 1 Singida 2 Tabora 3 Kigoma 4 Dodoma 5 Manyara 6 Morogoro 7 Pwani 8 Dar 9Tanga 10 Kilimanjaro 11Arusha Kuna mikoa...
8 Reactions
91 Replies
3K Views
Wakuu Amani iwe nanyi? Kuna swala lipo kidogo linachanganya yani ipo hivi pande flani ninapokaa mimi kwa pembeni kuna flame ya kuunza pombe niseme ni ya kienyeji maana wanatengenezea ndizi mbivu...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Tukiwa tunajiburudisha jion ya Leo hapa Arusha - Kona ya Florida nimeshuhudia kijana aliyekaa kaunta pampers aliyovaa ikichomoza Kwa nyuma. Hii Imekaaje, na hii si mara ya Kwanza kushuhudiq haya...
21 Reactions
161 Replies
12K Views
Mwaka ndo huo una elekea kuisha, kila mmoja ana mtazamo wake wengine furaha au huzuni. 👉Tukija Humu jf Kuna baadhi ya member wame kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa mtu au kitu kwa Mwaka huu...
18 Reactions
146 Replies
27K Views
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa. 2. Dawa ya meno anaminya popote tu. 3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika...
40 Reactions
183 Replies
11K Views
Wengine mwaka mpya umetukuta hapa small New York, ni mwendo wa kujipongeza kwenda mbele. Nawatakia mwaka mpy wenye mafanikio, baraka na maendeleo ya kweli ndugu mwanaJF mwenzangu.
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati huu, hopefully mko poa. Ifuatayo ni orodha ya wanawake wenye mvuto kwa mwaka huu 2023 Disclaimer: Ni kweli haiombwi hivo ila nikipewa sikatai😂😂 Hapa hamna kuwashobokea...
11 Reactions
67 Replies
2K Views
Back
Top Bottom