Mzuka wana jamvi ?
Kuna wapuuzi humu JF walikuwa wanafananisha jina langu na la ID ya Chizi Maarifa wakati ni majina mawili tofauti yasiyo fanana sasa baada ya kelele zao nimeona nibadilishe jina...
Hivi kuna madhara yoyote mwanamke akishika ujauzito na kuamua kumficha mwanaume bila kuwa na ugomvi au tatizo lolote kati yao, kwa lengo la kumlea mtoto peke yake?
Pia, ikiwa mwanaume huyo...
1. Pesa hutibu msongo wa mawazo
2. Pesa hutibu gonjwa la upweke
3. Pesa hutibu punyeto
4. Pesa hutibu vidonda vya tumbo
KAMA MDAU UNAUMWA HAYA MAGONJWA TAFTA PESA UTAPONA
Nawaza kufungua biashara ya kuuza vifaa vya mazishi kama sanda, marashi, majeneza, gari za kubebea marehemu na n.k
Kwenye hii biashara nataka iwe na mzunguko sana na mauzo mengi.
Hapa nitakuwa...
Hakika slim girls wapo moyoni mwangu
Kwanza tu unaweza kumbeba wakati wa tendo na kumkunja kisawa sawa maana body inaruhusu
Lakini pia kwa sisi wwnye vibamia kadude hakadzuiwi na kuishia kwenye...
Nataka tuanzishe hadithi mana kuna watu wanafikishaga hadith nusu sasa nataka tufikishe mwisho
Yani anaanza mwenzako kisha wewe unaendeleza pale alipoishia mwenzako
MFANO:
HADITHI...
Mimi min, baada ya miaka 500 kutokea ,leo atatokea mdada , kipanga mwenye haiba na DNA yangu, na humu JF itakua kubwa mno yeye ataimiliki kwenye enzi hizo😉
Nipo karibu sana na kufa...
Nawasalimu wakuu...
Nafurahi sana kuiona Jf ikikua na members kuongozeka sana!! Nimetumia muda mrefu kidogo kusoma kinachoandikwa hapa jukwaani kwa sasa nikifananisha na tulikotoka...
Naona sasa...
Huyu Bamedi leo kanikomesha aise.
Nilikuwa kaunta napata Moja baridi Moja uvuguvugu, ghafla akatokea mwamba, yule mwamba kwa sauti ya majivuno na yamajigambo si akamwambia yule Bamedi:
We...
1 Leo nimeota nimeenda kwenye shughuli kwenye kuandaa sasa nikaamshwa da nimekasilika sana
2 leo nimepanda baskel inayoachia mara paap ikaachia nikiwa mlimani mnajua kilichonikuta
3kijana...